• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Sehemu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Huduma za Sheria
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyo kamilika
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Namtumbo

Plant more cofee;PM Majaliwa

Tarehe ya kuwekwa: January 9th, 2018

Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa amewataka wananchi wa Songea kulima zao la kahawa ili waweze kujiongezea kipato cha kaya na kukuza uchumi .

Kauli hii ameitoa juzi wakati alipotembelea na kukagua shamba la kisasa la kahawa la kampuni ya Aviv Tanzania lililopo kijiji cha Lipokela wilaya ya Songea

Amesema zao la kahawa lina soko la uhakika nje na ndani ya nchi ambapo linaipatia nchi fedha za kigeni

“Limeni kahawa kama zao la biashara ili mpate fedha za uhakika kutokana na hali ya hewa nzuri na ardhi yenye rutuba ya Songea” alisema Waziri Mkuu

Majaliwa alisema zao la kahawa lina historia nzuri huko nyuma lakini sasa imefutika.Huko nyuma kahawa ilitumika kusomesha watoto lakini hasa kumetokea uzembe na uzalishaji umeshika.

“Nataka maafisa kilimo muwasaidie wakulima kujifunza kilimo bora cha kahawa na kuanzisha mashamba mapya ili wanufaike na zao hili” alisema Majaliwa.

Katika hatua nyingine Meneja Mkuu wa Shamba la AVIV Medu Medappa alisema kampuni yake imezalisha miche milioni mbili ya kahawa lakini hadi sasa ni miche laki mbili tu imechukuliwa na wananchi.

Amewahakikishia wakulima kuwa kuanzia sasa zao la kahawa litanunuliwa kwa njia ya ushirika kupitia AMCOS ili kuwahakikishia na siko la uhakika.

Majaliwa ameonya dhidi ya wataalam wa kilimo wanaotumia muda mwingi kukaa ofisini badala yake watoke na kwenda vijijini kuwaelimisha wakulima.

Matangazo

  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2018 January 24, 2019
  • Kikao cha Maandalizi ya Wiki ya Maonyesho ya Viwanda na Uwekezaji January 23, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi waliofaulu Kidato cha Kwanza Mkoa wa Ruvuma 2019 December 17, 2018
  • Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani December 02, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Watumishi 3 Manispaa ya Songea Wasimamishwa Kazi

    February 17, 2019
  • Watumishi wa Umma Kuweni na Subira Ongezeko la Mishahara - Waziri Mkuu Majaliwa

    February 08, 2019
  • Ufuatiliaji wa Mapato ya Ndani kwenye Halmashauri za Ruvuma

    January 17, 2019
  • Mpokezi ya Waziri Mkuu Ruvuma

    January 03, 2019
  • Angalia zote

Video

MAAGIZO YA MKUU WA MKOA KWA WATENDAJI WAKUU NA WATUMISHI WA SERIKALI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Kurasa Mashuhuru

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Regional Commissioner Office

    Anwani ya Posta: 74 Songea

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusha
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimili@2017 Ruvuma.Haki zote zimeifadhiwa