Mto Ruvuma wenye urefu wa kilometa zaidi ya 800 umeanzia milima ya Matogoro Manispaa ya Songea na kumwaga maji yake bahari ya Hindi.Ili kufamu mengi kuhusu mto huu fuatlia makala haya
Ngoro ni aina ya kilimo kinachohifadhi mazingira kwa njia ya asili ambacho kinaaminika kilianza kutumika na wakulima wa kabila la wamatengo Wilaya ya Mbinga Mkoa wa Ruvuma zaidi ya miaka 300 iliyopita.
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.