• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

OR TAMISEMI yatoa Mwongozo kwa wanafunzi wa kidato cha Tano kubadilisha Shule tahasusi

06 June 2022

OR-TAMISEMI yatoa mwongozo kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano kubadilisha shule,tahasusi


OR-TAMISEMI


KAIMU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Dkt. Charles Msonde amesema wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano kwenye maeneo mbalimbali na wana changamoto za ugonjwa ama walikosea kujaza Selfom kwa kuandika maeneo ya kuishi tofauti na uhalisia kuwasilisha changamoto hizo kwa Makatibu Tawala wa Mikoa yao ili ziweze kutatuliwa.


Dkt. Msonde ameyasema hayo leo wakati akitoa taarifa ya maandalizi ya kufungua shule wa wanafunzi wa Kidato cha Tano Juni 13,222.


Amesema, kufuatia taarifa iliyotolewa na Waziri wa Nchi-TAMISEMI, Mhe.Innocent Bashungwa mnamo Mei 13,2022 ya kuwapangia shule wanafunzi wa Kidato cha tano na vyuo Ofisi ya Rais-TAMISEMI imekuwa ikipokea maombi kutoka kwa wazazi ama wanafunzi wenyewe ya kubadilisha shule au tahasusi kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za ugonjwa, kukosea ujazaji wa Selform kwa kuonyesha maeneo ya kuishi tofauti na uhalisia.


"OR-TAMISEMI inasisitiza kwa wale wote wenye changamoto hizo waziwasilishe kwenye ofisi za Makatibu Tawala wa Mikoa ili zitatuliwe.


"Makatibu Tawala wa Mikoa wameshapatiwa mwongozo wa namna ya kushughulikia changamoto za uhamisho na ubadilishaji wa tahasusi ili wautumie kama rejea wakati wa kushughulikia changamoto mbalimbali za wazazi na wanafunzi," amesema.


Pia amebainisha kuwa, wanafunzi walichaguliwa na kupangiwa shule kwa kuzingatia machaguo yao waliyopendekeza na ushindani miongoni mwao katika machaguo hayo pamoja na shule walizopendekeza.


Aidha, idadi ya wanafunzi waliopangiwa kwenye kila shule ilitegemea na nafasi zilizokuwepo katika kila shule ili kuepusha msongamano kwa wanafunzi darasani na mahali pakulala.


Pia amewataka wanafunzi hao kuhakikisha wanatipoti shuleni si zaidi ya wiki mbali tangu tarehe ya kufungua shule ambayo ni Juni 13,2022 kinyume na hapo nafasi hiyo itapewa mwanafunzi mwingine ambaye yuko kwenye orodha ya kusubiria

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara June 30, 2023
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2023
  • WALIOCHAGULIWA kidato cha kwanza March 31, 2023
  • UTARATIBU wa kupandisha hadhi barabara June 30, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI CCM Mkoa wa Ruvuma akipanda Mti

    February 03, 2023
  • MAJENGO ya Zahanati ya Kipingo-Madaba

    February 03, 2023
  • Ruvuma ya kijani

    February 03, 2023
  • Ujenzi wa Stendi mpya ya kisasa Songea-DC

    February 02, 2023
  • Tazama zote

Video

BARABARA ya Songea -Msumbiji kuanza kujengwa
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 74 Songea

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.