• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BILIONI 69 ZA REA kunufaisha vitongoji 634 Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: February 3rd, 2026

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi kabambe wa shilingi bilioni 69 wa kusambaza umeme katika vitongoji 634 utakaonufaisha wateja wa awali 20,328 Mkoani Ruvuma.


Meneja Usimamizi wa Miradi ya Kusambaza Umeme wa REA, Mhandisi Deogratius Nagu amebainisha hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy Februari 02, 2026 Mkoani Ruvuma wakati wa kuwatambulisha Wakandarasi watakaotekeleza mradi Kampuni ya mzawa ya Energy Services Ltd na Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Kusafirisha na Kusambaza Umeme (ETDCO) kwa Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Brigedia Jenerali Ahmed Abasi Ahmed.


“Tunamshukuru Rais Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia kiasi cha shilingi 69,134,982,657.9576 kitumike kusambaza umeme katika vitongoji 634 mkoani hapa na leo hii tumefika hapa kuwatambulisha wakandarasi na maandalizi ya awali ya kutekeleza mradi yameanza,” amesema Mhandisi Nagu.


Akizungumza wakati wa utambulisho wa wakandarasi hao, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Ahmed ameipongeza REA kwa kuendelea kutekeleza dhamira na maono ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa vitendo na kuwataka wakandarasi hao kuhakikisha mradi unakamilika kwa wakati na ubora unaotakiwa.


Amesema umeme unakwenda kuongeza chachu ya maendeleo na kuimarisha huduma za kijamii na kiuchumi na ametoa wito kwa wananchi maeneo ya mradi kuchangamkia fursa zitokanazo na mradi lakini pia kuwa waadilifu kwa kulinda na kutunza miundombinu ya umeme na pia kuwapatia ushirikiano wakandarasi.


“Tuwahakikishie Mkoa unao wataalam walio tayari kufanya kazi muda wowote, hivyo tunawahakikishia ushirikiano wa kutosha na ni wajibu wetu kuhakikisha ulinzi na usalama lakini pia wakandarasi mnapaswa kuwa waadilifu na mjikague wenyewe kwa wenyewe,” ameelekeza Brigedia Ahmed.


Akizungumzia hali ya usambazaji umeme mkoani humo, Mhandisi Nagu amesema kuwa vijiji vyote 551 vimefikishiwa umeme na kwamba hadi sasa vitongoji 2,107 vimefikishiwa umeme kati ya vitongoji 3,691 na kwamba kazi inaendelea ya kusambaza umeme katika vitongoji 731.


Mha. Nagu amefafanua kuwa ETDCO atatekeleza mradi kwenye vitongoji 262 katika Wilaya za Mbinga na Nyasa kwa gharama ya shilingi bilioni 37.9 na huku Energy Services akitekeleza kwenye vitongoji 372 kwa gharama ya shilingi bilioni 31.2 katika Wilaya za Songea, Namtumbo na Tunduru


Amesema, dhamira ya Serikali ni kuhakikisha ifikapo mwaka 2030 vitongoji vyote nchini viwe vimefikishiwa nishati ya umeme na kwamba REA ikiwa na dhamana hiyo imejipanga kikamilifu kupitia miradi mbalimbali ya kimkakati kufikia dhamira hiyo.


Pia, Mhandisi Nagu amesema mradi unatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu na ameiomba Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kushirikiana na REA kufikisha elimu na taarifa sahihi kwa wananchi sambamba na kuhamasisha wananchi kuunganishiwa umeme.


Aidha, kwa upande wao wakandarasi wa mradi huo walimhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa watatekeleza mradi kwa uaminifu, uadilifu na uzalendo kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za Serikali.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara November 30, 2026
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2026
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2026
  • ILANI ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020/2025 October 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WWF wachochea mapinduzi ya uhifadhi katika kisiwa cha Lundo

    April 02, 2026
  • MRADI wa maji wa bilioni 145 Songea ,wapiga hatua serikali yalenga kumaliza tatizo la maji

    April 02, 2026
  • KANISA la msalaba ;Liuli urithi wa karne unaoishi

    April 02, 2026
  • LIKUNGU kutoka wingu jeusi hadi bidhaa adimu ya lishe bora

    April 02, 2026
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • DORA77
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • situs toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot gacor
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • situs toto
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • slot gacor
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • slot gacor
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77
  • situs toto
  • slot
  • wdbro
  • axl777
  • wdbro
  • wdbro
  • wdbro
  • wdbro
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • dora77
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต