• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAKUMBUSHO ya Dkt.Rashid Kawawa yanavyoamsha historia inayoishi Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: August 23rd, 2025

Katika kona ya kusini mwa Tanzania, katikati ya mji wa  kihistoria wa Songea mkoani Ruvuma, kuna hazina ya dhahabu isiyo na thamani ya fedha bali ya kumbukumbu,utu na uzalendo.

Makumbusho ya Kumbukumbu ya Dkt. Rashid Mfaume Kawawa, maarufu kwa jina la heshima "Simba wa Vita", kiongozi aliyesimama imara kama ngome ya utaifa na ukombozi wa Afrika.

Makumbusho haya, yaliyofunguliwa rasmi tarehe 27 Februari, mwaka 2017, ni tawi la Makumbusho ya Taifa la Tanzania na yanapatikana katika Mtaa wa Kawawa, eneo la Bombambili, Manispaa ya Songea. Mahali hapa si tu panahifadhi historia ya mtu mmoja, bali ni mlango wa kuingia katika historia ya taifa zima na harakati za ukombozi wa Bara la Afrika.

Kumbukumbu Zinazoishi Ndani ya Kuta Zake

Ndani ya makumbusho haya, historia haiandikwi kwa kalamu tu, bali inaishi katika vitabu, mavazi, medali, picha za kihistoria na samani alizotumia Hayati Dkt. Kawawa katika maisha yake binafsi na ya kisiasa.

Moja ya vivutio vikubwa zaidi ni uwepo wa nyumba ya kisiri iliyo na handaki (njia ya maficho), iliyotumiwa wakati wa harakati za ukombozi wa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara. Handaki hilo linaeleza kimya kimya, kwa sauti ya historia, namna kiongozi huyu alivyokuwa kiungo muhimu katika mikakati ya kisiasa na kijeshi wakati wa enzi ya ukoloni.

Kawawa na Filamu za Kwanza za Kiafrika Nchini Tanzania

Katika historia ya filamu barani Afrika, wengi hawawezi kudhani kuwa jina la Dkt. Rashid Kawawa lingehusishwa na uigizaji lakini ndilo linaloongoza ukurasa wa kwanza.

Kwa mujibu wa Mhifadhi Kiongozi wa Makumbusho ya Taifa, Philipo Maligisu, Kawawa alikuwa Mtanzania wa kwanza kuigiza na kutengeneza filamu za Kiafrika.

Filamu ya kwanza, "Muhogo Mchungu" ya mwaka 1951, ndiyo ilimtambulisha kwa mara ya kwanza katika uigizaji, ikiwa ni kazi iliyotayarishwa kwa lugha ya Kiswahili yenye dhamira ya kupigania utu na haki. Baada ya filamu hiyo, aliigiza kazi nyingine kama:

  • "Meli Inakwenda" – aliyocheza pamoja na mkewe Sofia mwaka 1952 mjini Bukoba
  • "Wageni Wema" – iliyooneshwa mwaka 1953 mjini Arusha
  • "Chalo Amerudi" – mwaka 1954
  • "Juma Matatani" – iliyochezwa Dodoma mwaka huohuo

Kwa jumla, Kawawa alishiriki katika angalau filamu tano zilizoweka msingi wa tasnia ya filamu ya Kiafrika hapa nchini.

Makumbusho Ambayo Ni Chuo cha Uzalendo

Makumbusho haya si tu mahali pa kutembele bali ni darasa la uzalendo, chimbuko la maarifa kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Hapa, historia haikai kwenye vitabu bali huonekana, hushikika na huhisiwa.

Watoto wa shule, wanafunzi wa vyuo, watafiti wa historia, na watalii wa ndani na nje ya nchi hupata fursa ya kujifunza siasa, utamaduni, na mapambano ya ukombozi kupitia maisha ya mtu mmoja aliyeweka maslahi ya taifa mbele ya yake binafsi.

Kwa mujibu wa takwimu za Makumbusho ya Taifa, zaidi ya 8,000 ya wageni walitembelea makumbusho haya kati ya mwaka 2021 na 2024, idadi ambayo inaendelea kupanda mwaka hadi mwaka, ikiwa ni ishara tosha ya ongezeko la shauku ya Watanzania na wageni kuhusu historia yao.

 Historia Inapovuta Uhai Upya Songea

Katika dunia ya leo yenye kasi kubwa ya maisha na teknolojia, Makumbusho ya Dkt. Rashid Mfaume Kawawa ni kioo cha kale kinachoakisi maadili ya sasa. Ni mwaliko wa kutafakari, kujifunza na kujivunia historia ya taifa letu.

Hili ni taji la kumbukumbu lililojaa utukufu, na kwa yeyote anayetafuta kuelewa maana ya uongozi wa kweli, uzalendo wa dhati, na thamani ya kujitolea kwa ajili ya nchi Makumbusho ya Kawawa ni sehemu ambayo lazima ufike.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma May 31, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • BILIONI 1.67 kuchochea mapinduzi ya barabara Songea

    February 06, 2026
  • HALMASHAURI ya wilaya ya Songea yapitisha bajeti ya bilioni 34

    February 06, 2026
  • SHULE ya kwanza ya amali yazinduliwa Songea

    February 06, 2026
  • WATAALAMU wa kilimo Tunduru wapewa mafunzo kuinua tija na kulinda mazingira

    February 06, 2026
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • DORA77
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • situs toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • situs toto
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • slot gacor
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77