• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SEKTA ya afya Ruvuma yapiga hatua

Imewekwa kuanzia tarehe: October 3rd, 2025

Sekta ya afya mkoani Ruvuma imepiga hatua kubwa kutokana na jitihada za serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, hatua ambazo zimeongeza matumaini kwa maelfu ya wananchi wanaotegemea huduma bora za afya.

Akizungumza na wanahabari,mjini Songea Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dr. Louis Chomboko, alisema uwekezaji katika miundombinu, rasilimali watu na huduma za msingi umeibadilisha kwa kiasi kikubwa sekta ya afya ya mkoa huo.

“Wananchi sasa wanashuhudia huduma bora zaidi, upatikanaji wa dawa umeongezeka na teknolojia imewekwa ili kurahisisha huduma,” alisema.

Kwa sasa,mkoa wa Ruvuma ina jumla ya vituo 473 vya huduma za afya, vikiwemo hospitali 18, vituo vya afya 50 na zahanati 341. Serikali inamiliki sehemu kubwa ya vituo hivyo, ikiwa na hospitali 9, vituo vya afya 39 na zahanati 277.

Katika maboresho ya teknolojia, mfumo wa GoTHOMIS,Dr.Chomboko alisema umesimikwa kwenye vituo 192 kati ya 325 vya afya, sawa na asilimia 64.74, hatua inayolenga kuongeza uwazi na ufanisi katika utoaji huduma.

Hata hivyo amesema Upatikanaji wa dawa na vifaa tiba nao umeimarika kwa kiwango kikubwa, kutoka asilimia 50 mwaka 2021 hadi kufikia asilimia 84 mwaka 2024. Serikali imetumia shilingi bilioni 7.95 kuhakikisha upatikanaji wa dawa, huku asilimia 90.1 ya mahitaji yakifikiwa kwa ufanisi.

Amesema Huduma za chanjo zimepata mafanikio makubwa, ambapo chanjo ya kifua kikuu (BCG) imefikia asilimia 166 ya malengo, polio asilimia 135 na HPV asilimia 126. Aidha, jumla ya vituo 348 vinatoa huduma za afya ya uzazi na mtoto, kati yake vituo 325 vikitoa chanjo na 313 vikitoa huduma za kujifungua.

Kulingana na Mganga Mkuu huyo wa Mkoa,Katika mapambano dhidi ya saratani ya mlango wa kizazi, wanawake 22,718 walichunguzwa, 301 (sawa na asilimia 1.3) waligundulika kuwa na VIA positive na 87% walitibiwa. Aidha, wanawake 79 walihisiwa kuwa na saratani na kupatiwa rufaa kwa uchunguzi zaidi.

 Ameongeza kuwa Huduma za ustawi wa jamii kupitia mpango wa iCHF pia zimeimarika. Watoto 283,094 wameandikishwa, sawa na asilimia 119.9 ya lengo, huku kaya 31,767 zikijiunga na mfuko huo kwa kuchangia shilingi milioni 953.

Mkoa pia umepokea vifaa vipya vya uchunguzi, vikiwemo mashine 27 za hematolojia, 26 za biochemistry, mashine 9 za Genexpert na mashine 8 za X-ray za kidijitali zilizogawiwa kwenye hospitali mbalimbali.

Kwa upande wa miundombinu, Dr.Chomboko amesema zaidi ya shilingi bilioni 4.76 zimetumika kwenye miradi 29 ya afya, miradi miwili ikikamilika kwa asilimia 100 na mingine 27 ikiwa katika hatua mbalimbali za umaliziaji. Kwa mwaka wa fedha 2024/2025, zaidi ya shilingi bilioni 3.42 zimetengwa kwa miradi mipya.

Mafanikio haya yanathibitisha dhamira ya serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kujenga sekta ya afya imara, endelevu na inayomfikia kila Mtanzania, hususan wananchi wa mikoa ya pembezoni kama Ruvuma.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma May 31, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • BILIONI 1.67 kuchochea mapinduzi ya barabara Songea

    February 06, 2026
  • HALMASHAURI ya wilaya ya Songea yapitisha bajeti ya bilioni 34

    February 06, 2026
  • SHULE ya kwanza ya amali yazinduliwa Songea

    February 06, 2026
  • WATAALAMU wa kilimo Tunduru wapewa mafunzo kuinua tija na kulinda mazingira

    February 06, 2026
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • DORA77
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • situs toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • situs toto
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • slot gacor
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77