• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SWACCO yaadhimisha miaka 25 ya huduma ya watoto yatima

Imewekwa kuanzia tarehe: September 7th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mheshimiwa Kapenjama Ndile, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, ameongoza maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa kituo cha watoto yatima cha SWACCO, kilichopo katika Manispaa ya Songea.

Katika hotuba yake, Mheshimiwa Ndile amesisitiza kuwa thamani ya maisha ya binadamu haipimwi kwa mali, utajiri au vyeo, bali kwa mchango wake katika kuboresha maisha ya wengine, hasa wale wasiojiweza, akitoa mfano wa Hayati Regina Chinguku, mwanzilishi wa kituo hicho, ambaye alijitoa kwa moyo kuwahudumia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu.

Mheshimiwa Ndile amewahimiza watoto waliowahi kulelewa na wanaoendelea kulelewa katika kituo hicho kutokata tamaa kutokana na changamoto walizopitia akiwakumbusha kuwa Mwenyezi Mungu ameandaa fursa nyingi za mafanikio kwa kila mmoja wao, hivyo ni muhimu kuzitumia kwa bidii badala ya kulalamika au kunung’unika.

Vilevile amewataka kujituma ili waweze kufikia mafanikio na hatimaye kuwasaidia wengine, akisisitiza kuwa wao pia wana uwezo wa kufanya mageuzi makubwa katika jamii, ikiwemo kuanzisha vituo vingine vya kulea watoto yatima kama walivyosaidiwa wao.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa kituo cha SWACCO, Bi. Anna Eric Mgenya, amesema dhamira ya kituo hicho ni kutoa elimu kwa jamii ili kukomesha mimba za utotoni, maambukizi ya VVU, unyanyapaa, ongezeko la umaskini na watoto wa mitaani.

Bi. Anna pia ameeleza changamoto zilizopo katika kituo hicho, ambazo ni  ukosefu wa bwalo la chakula, hali inayowalazimu watoto kula na kujisomea ndani ya mabweni. Pia, uhaba wa mabweni umekuwa kikwazo katika kupokea watoto wapya wanaohitaji msaada.

Licha ya changamoto hizo, SWACCO imekuwa ikiwajengea uwezo watoto wake kwa kuwashirikisha katika shughuli za maendeleo kama kilimo na ufugaji, ili kuepuka utegemezi wa kila kitu, hata hivyo, kituo kinakabiliwa na ukosefu wa teknolojia za kisasa katika utekelezaji wa shughuli hizo.

Naye Jane Turuka, mmoja wa watoto waliowahi kulelewa katika kituo hicho, ametoa ushuhuda wa mafanikio yake akisema  alipokuwa SWACCO aliishi maisha yenye heshima, alivalishwa, alisomeshwa na hatimaye kufikia elimu ya shahada ya saikolojia, hivyo amewashukuru wafadhili wote kwa mchango wao katika maisha ya watoto wanaolelewa katika kituo hicho.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara November 30, 2026
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2026
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2026
  • ILANI ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020/2025 October 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII yatakiwa kupinga visababishi vya umaskini

    March 09, 2026
  • WANAWAKE Ruvuma wakabidhiwa hati za ardhi siku ya wanawake Duniani

    March 08, 2026
  • LEO ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani ,mfahamu Chifu Mkomanile shujaa mwanamke aliyepinga ukoloni

    March 08, 2026
  • KILELE cha maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani mkoani Ruvuma

    March 08, 2026
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • DORA77
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • situs toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • situs toto
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • slot gacor
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • slot gacor
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77