• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

VIJANA Ruvuma wahimizwa kuchangamkia fursa za maendeleo

Imewekwa kuanzia tarehe: December 6th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, ametoa wito kwa vijana wa mkoa huo kuchangamkia kwa umakini na weledi fursa mbalimbali zilizopo katika mkoa wa Ruvuma, akisisitiza kuwa maendeleo ya taifa hayawezi kufikiwa bila ushiriki wa vijana wenye maono na uthubutu.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wa Mkoa wa Ruvuma lililofanyika katika ukumbi wa Songea Club mjini Songea, Brigedia Jenerali Ahmed amesema vijana wana jukumu kubwa la kushiriki kikamilifu katika shughuli za kilimo cha kisasa, kuongeza thamani ya mazao, pamoja na kuchangamkia fursa za biashara katika maeneo ya mipakani na ukanda wa Kusini mwa Afrika.

Ameeleza kuwa Serikali inaendelea kuboresha mazingira ya upatikanaji wa mitaji, kutoa mafunzo ya ujasiriamali, na kuimarisha miundombinu ya kiuchumi ili kuwawezesha vijana. Hata hivyo, amesisitiza kuwa mafanikio haya yatakuwa na maana endapo vijana wataamua kushiriki kikamilifu na kubeba jukumu la maendeleo.

Brigedia Jenerali Ahmed Abbas ameeleza kuwa nchi inaelekea kwenye uchumi wa viwanda na kidigitali, hivyo Taifa linahitaji vijana wenye nidhamu ya kazi, ubunifu, uadilifu na uwezo wa kutatua changamoto za kijamii.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mhe. Kapenjama Ndile, amesema kijana anaweza kufikia nafasi yoyote katika jamii endapo atakuwa mwaminifu, makini, na mwenye kujituma akisisitiza kuwa jukumu la viongozi ni kuhakikisha vijana wanajengewa mazingira bora ya kufanikisha ndoto zao.

Naye Katibu wa Chama cha Viziwi Mkoa wa Ruvuma, Gervas Komba, ametoa wito kwa Serikali kuhakikisha ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu katika masuala mbalimbali ya maendeleo kuanzia ngazi za chini.

Kwa upande mwingine mmoja wa washiriki wa kongamano hilo, Zuberi Yassin, ameiomba Serikali kuendelea kushirikiana kwa karibu na vijana kwa kusikiliza changamoto zao, hususan katika upatikanaji wa mikopo na mitaji ya kuanzisha shughuli za kiuchumi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma May 31, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MASHIRIKA ya msalaba Mwekundu Mbinga yakabidhi visima vitano

    January 14, 2026
  • MIJUSI wakongwe zaidi Duniani wagundulika Bonde la Ruhuhu

    January 14, 2026
  • RUVUMA yatoka gizani umeme wageuka nguzo ya mapinduzi ya kiuchumi

    January 14, 2026
  • TAKWIMU sahihi kusaidia utekelezaji afue za lishe

    January 13, 2026
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • DORA77
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto