• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WALIMU ni nguzo muhimu ya mabadiliko

Imewekwa kuanzia tarehe: December 3rd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, amesema walimu ni nguzo ya mabadiliko ya kijamii, kiuchumi na kiutamaduni katika taifa akisisitiza kuwa taifa linalotaka kupiga hatua lazima liwekeze kwa dhati katika walimu wake.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa walimu wa kanda ya kusini na mashariki (SETCO) uliofanyika mjini Songea katika ukumbi wa Chandamali, Brig. Jen. Ahmed amesema walimu ndio wapandaji wa mbegu ya elimu akifafanua kuwa mbegu hiyo ikiachwa bila ufuatiliaji inaweza kudhoofika, hivyo ni muhimu kufuatilia changamoto mapema na kuchukua hatua za haraka.

Amesema serikali imefanya kazi kubwa kuboresha mazingira na miundombinu ya kufundishia na kujifunzia, kwa kutambua kuwa walimu bora wanahitaji mazingira bora ili kutoa matokeo bora. Hivyo ni lazima uwekezaji huo uonekane kwa matokeo halisi ya ufaulu wa wanafunzi.

Brigedia Jenerali Ahmed Abbas amewataka walimu wote kuweka mpango wa kuinua matokeo ya somo analofundisha, huku wakifanya ufuatiliaji na tathmini ya mara kwa mara. Akiwaagiza viongozi wa shule kuhakikisha kunakuwa na ufuatiliaji endelevu wa ufundishaji, mahudhurio ya wanafunzi na matumizi ya vifaa vya kujifunzia.

Kwa upande wake, Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Dkt. Sulemani Ikomba, amesema kumekuwa na changamoto kadhaa katika halmashauri ambazo madiwani wa kila kata wanapaswa kuzitatua.

Ameeleza kuwa bajeti zimetengewa kwa ajili ya kushughulikia changamoto za walimu ikiwemo matibabu, hivyo madiwani wanapaswa kuhakikisha walimu wanapata msaada wanapokumbwa na matatizo ya kiafya ili waweze kurejea kazini kwa haraka.

Akisoma risala kwa mgeni rasmi, Katibu wa CWT Wilaya ya Mbinga, Mwalimu Chacha Maro, ametaja miongoni mwa changamoto wanazozipata walimu ni sheria ya kikokotoo ambayo imekuwa ikiwakwamisha walimu kupata maslahi bora.

Amebainisha kuwa walimu wamekuwa wakicheleweshewa kulipwa madeni yao na pia kuna upungufu mkubwa wa walimu. Ameiomba serikali kuajiri walimu kwa kasi ili kupunguza changamoto hiyo.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara November 30, 2026
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2026
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2026
  • ILANI ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020/2025 October 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANAWAKE Ruvuma wakabidhiwa hati za ardhi siku ya wanawake Duniani

    March 08, 2026
  • LEO ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani ,mfahamu Chifu Mkomanile shujaa mwanamke aliyepinga ukoloni

    March 08, 2026
  • KILELE cha maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani mkoani Ruvuma

    March 08, 2026
  • WANAWAKE nguzo ya maemdeleo inayobeba nguzo za jamii

    March 08, 2026
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • DORA77
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • situs toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • situs toto
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • slot gacor
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • slot gacor
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77