Balozi wa Tanzania nchini Malawi Humphrey Polepole amefurahishwa na ujenzi wa bandari ya Ndumbi ziwa Nyasa ambayo imegharimu zaidi ya shilingi bilioni 12 .Amesema Wilaya ya Nyasa itakuwa kituo maalum cha uchumi katika ushoroba wa Mtwara unaoanzia Mtwara hadi Wilaya ya Nyasa.
Regional Commissioner Office
Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.
Simu: 0252602256
Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174
Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.