Posted on: January 20th, 2025
Serikali imekamilisha miradi mbalimbali ya kuboresha huduma za afya katika hospitali ya Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma.
Miradi hiyo ni pamoja na ukarabati wa Hospitali ya Wilaya kwa gha...
Idadi ya Watu mkoa wa Ruvuma = Idadi ya watu mkoani Ruvuma kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 jumla ya watu 1,848,794 kati yao wanaume 902,298 na wanawake 946,496