Posted on: March 26th, 2023
RAIS Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya shilingi bilioni 20 kujenga sekondari mpya 11 na vyumba vya madarasa 656 katika Mkoa wa Ruvuma.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thom...
Idadi ya Watu mkoa wa Ruvuma = Idadi ya watu mkoani Ruvuma kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 jumla ya watu 1,848,794 kati yao wanaume 902,298 na wanawake 946,496