• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAAMBUKIZI ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yamepungua kwa asilimia 18

Imewekwa kuanzia tarehe: December 2nd, 2024

Waziri wa Afya Mhe. Jesnista Mhagama amesema kiwango cha maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yamepungua kutoka asilimia 18 mwaka 2010 hadi asilimia 8.1 mwaka 2023.

Waziri Mhagama amesema hayo Novemba 29, 2024 wakati wa ufunguzi wa kongamano la kitaifa la kisayansi la masuala ya UKIMWI pamoja uzinduzi na usambazaji wa ripoti ya utafiti wa viashiria na matokeo ya UKIMWI mwaka 2022 - 2023 uliofanyika Songea mkoani Ruvuma.

Waziri Mhagama amesema usalama wa watoto wanaozaliwa kutopata maambukizi ya VVU hivi sasa ni mkubwa kutokana na jitihada za Serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo kuwekeza na kutekeleza afua mbalimbali za masuala ya VVU na UKIMWI.

"Nishukuru sana kwa juhudi za wadau wote ambao wanajielekeza katika kuhakikisha maisha yanaendelea kwa WAVIU na watoto wanaozaliwa katika mahusiano mbalimbali hapa nchini wanakua salama," amesema Waziri Mhagama.

Aidha, Waziri Mhagama ameishukuru Tume ya Taifa Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS) kwa kuendelea kuratibu suala zima la mapambano ya VVU na UKIMWI kwa kutengeneza mikakati unganishi na shirikishi ambayo itasaidia katika kufikia mafanikio na mikakati iliyowekwa.

Waziri Mhagama ametoa wito kwa kila mmoja kushiriki katika kulinda na kuthamini mafanikio yaliyofikiwa ikiwa ni pamoja na kuondoa unyanyapaa kwa watu wanaishi na maambukizi ya VVU.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Songea Mhe. Kapenjama Ndile ambaye amemuwakilisha Mkuu wa Mkoa huo amesema Mkoa huo umepata mafanikio ya kupambana na maambukizi mapya ya VVU kutoka asilimia 5.6 mwaka 2017 hadi 4.9 mwaka 2022 ikiwa sawa na asilimia 0.7 huku viwango vya kitaifa ikiwa na asilimia 2.8.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa uhuru wazindua jengo la EMD Peramiho

    May 10, 2025
  • MWENGE wa uhuru waingia Pers

    May 10, 2025
  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.