• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOPO wa milioni 313 wakabidhiwa kwa vikundi Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: March 6th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imekabidhi mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 313,350,550 kwa vikundi vya wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu. 

Mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mheshimiwa Simon Chacha. ambaye amesema Mikopo hiyo ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato ya halmashauri inayotolewa kwa vikundi maalum ili kuwawezesha kiuchumi.

, Mheshimiwa Chacha alisisitiza umuhimu wa mikopo hiyo katika kuboresha maisha ya wananchi na kusaidia juhudi za serikali za kupunguza umaskini. 

Aliwataka wanufaika kuhakikisha wanatumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa na kurejesha mikopo kwa wakati ili wengine pia waweze kunufaika.

“Mikopo hii ni fursa muhimu kwa wananchi kuongeza kipato na kuboresha maisha yao. Ni jukumu letu sote kuhakikisha tunaitumia vyema ili kuleta maendeleo katika wilaya yetu,” alisema Mheshimiwa Chacha. 

Aliongeza kuwa serikali imeweka mfumo mzuri wa utoaji wa mikopo, hivyo ni wajibu wa wanufaika kurejesha fedha hizo kwa wakati.

, Mheshimiwa Chacha alimwagiza Afisa Maendeleo ya Jamii kuwasaidia wananchi kutambua miradi isiyokidhi vigezo vya mikopo mapema. 

 Amesisitiza hatua hiyo itasaidia kuzuia wananchi kutumia gharama kubwa kuanzisha mchakato wa maombi ya mikopo kwa miradi isiyo na sifa za kukopesheka.

Mikopo hii inalenga kuwawezesha kiuchumi wanufaika kwa kuwasaidia kuanzisha au kukuza biashara zao. 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa uhuru wazindua jengo la EMD Peramiho

    May 10, 2025
  • MWENGE wa uhuru waingia Pers

    May 10, 2025
  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.