• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

Imewekwa kuanzia tarehe: May 9th, 2025

Mbio za Mwenge wa Uhuru zimeanza rasmi leo Mei 9, 2025, mkoani Ruvuma kwa kutembelea, kukagua na kuweka mawe ya msingi katika miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Mwenge wa Uhuru umezindua vyumba viwili vya madarasa ya awali na matundu sita ya vyoo katika Shule ya Msingi Mkwera, umeweka mawe ya msingi katika ujenzi wa nyumba ya wageni katika Kijiji cha Lituta na mradi wa maji kijiji cha Gumbiro na kukagua mradi wa lishe katika Kijiji cha Lutukira.

Akiweka jiwe la msingi katika mradi wa maji katika kijiji cha Gumbiro, Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Bw. Ismail Ali Ussi, amehimiza mamlaka husika kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati ili wananchi wanufaike na juhudi zinazofanywa na serikali ya awamu ya sita na kuwasihi wananchi kutunza miradi hiyo.

Kwa upande wake Mbunge wa Madaba, Mhe. Joseph Mhagama, amesema jimbo hilo katika kipindi cha uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia limepokea bilioni 12.9 kwa ajili ya miradi ya maji.

Ameeleza kuwa mradi huo wa Gumbiro ni moja kati ya miradi ambayo inatarajiwa kukamilika hivi karibuni na mradi huo utakuwa na uwezo wa kubeba maji lita 75,000 na kuhudumia wakazi zaidi ya 2,000.

Mwenge wa Uhuru pia umekagua shughuli za kiuchumi zinazofanywa na vijana wa bodaboda katika Kijiji cha Mbangamawe na kuweka jiwe la msingi katika kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu cha Hope Village na kushiriki katika upandaji wa miti ili kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.