• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yatoa maelekezo kuimarisha utoaji taarifa kwa umma

Imewekwa kuanzia tarehe: May 25th, 2025

Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ameipongeza Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kuandaa kikao kazi muhimu cha siku mbili kilichowakutanisha Maafisa Habari wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kutoka mikoa yote nchini, kilichofanyika katika Ukumbi wa Jiji la Dodoma, Mtumba.

Akizungumza wakati wa kufunga kikao hicho Msigwa amesema kikao hicho ni hatua muhimu katika kuimarisha utoaji wa taarifa sahihi za serikali kwa wananchi, na kwamba Maafisa Habari wanapaswa kuongeza ushirikiano na vyombo vya habari vya maeneo yao ili kufanikisha lengo hilo.

“Kama tulivyokubaliana, ni lazima mshirikiane kwa karibu na waandishi wa habari katika mikoa na wilaya zenu, mtumie vyema vyombo vya habari vya ndani, na msimamie utekelezaji wa maelekezo ya Mheshimiwa Rais Samia kuhusu kuimarisha vitengo vya habari kwa vifaa na rasilimali,” alisema Msigwa.

Mambo mengine ambayo Maafisa Habari wamekubaliana kuyatekeleza ni kutumia mitandao ya kijamii kwa ufanisi ili kuwafikishia wananchi taarifa za sera, mipango na utekelezaji wa miradi ya maendeleo, pamoja na kuongeza maarifa, juhudi na ubunifu katika kazi zao.

Pia wametakiwa kusimamia majukumu yao kwa weledi na kuepuka kutumika kufanya kazi ambazo hazihusiani na taaluma yao ya habari, ili kuimarisha taswira na ufanisi wa Serikali kwa wananchi kupitia mawasiliano ya kimkakati.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI yatoa maelekezo kuimarisha utoaji taarifa kwa umma

    May 25, 2025
  • NGORO siri ya kilimo kinachotunza ardhi kwa miaka 300

    May 25, 2025
  • MAAFISA Habari wapewa nguvu mpya,Mchengerwa afungua milango ya mapinduzi ya mawasiliano

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha mabweni na madarasa wilayani Tunduru

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.