• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MARAIS watatu walivyoiandika historia katika kambi ya Muhukuru Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: July 25th, 2025

Kambi ya Wapigania Uhuru ya Muhukuru, Wilaya ya Songea, Mkoa wa Ruvuma – Tanzania

Katika picha ya kihistoria isiyofutika kirahisi katika kumbukumbu za Bara la Afrika, marais watatu mashuhuri—Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wa Tanzania, Samora Machel wa Msumbiji na Kenneth Kaunda wa Zambia—walikutana katika Kambi ya Muhukuru, iliyoko wilayani Songea, mkoani Ruvuma.

Hii haikuwa tu ziara ya kawaida. Ilikuwa ni mkutano wa mashujaa wa Afrika, walioungwa mkono na dhamira ya dhati ya kuikomboa Afrika kutoka katika makucha ya ukoloni na ubaguzi wa rangi.

Wakati huo, Kambi ya Muhukuru ilikuwa makazi ya zaidi ya wakimbizi 12,000 waliokimbia mateso ya kikoloni kutoka nchi za Kusini mwa Afrika.

 RUVUMA – NGOME YA MAPAMBANO YA UKOMBOZI

Kwa mujibu wa Philipo Maligisu, Mhifadhi Kiongozi kutoka Makumbusho ya Taifa, Mkoa wa Ruvuma unashikilia rekodi ya kipekee kama mkoa uliokuwa na kambi nyingi zaidi za wapigania uhuru nchini Tanzania. Zaidi ya wapigania uhuru 84,000 kutoka nchi kama Msumbiji, Zimbabwe, Angola, Namibia, Afrika Kusini na Zambia walihifadhiwa, kufundwa na kusaidiwa mkoani hapa.

Muhukuru ilikuwa shule ya mapambano, chuo cha uzalendo, na chemchemi ya mshikamano wa Kiafrika. Kupitia kambi hii na nyingine kama Lundo,Likuyu na Masonya, Tanzania chini ya uongozi wa Mwalimu Nyerere, ilitoa mchango mkubwa katika kufanikisha uhuru wa mataifa jirani.

 KUMBUKUMBU YA KUINUA VIZAZI

Tukio la kukutana kwa marais hawa watatu halikuwa la kawaida. Ilikuwa ni ujumbe wa mshikamano, matumaini na uthibitisho kuwa Afrika inaweza kujikomboa yenyewe kwa mshikamano.

 Picha hii ya kihistoria ni kielelezo hai cha mshikamano wa Afrika. Ni wakati wa kuenzi, kujifunza, na kuendeleza historia za mashujaa waliopigania uhuru wetu kwa damu na jasho.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MARAIS watatu walivyoiandika historia katika kambi ya Muhukuru Songea

    July 25, 2025
  • MAMA auwa watoto watatu kwa kuwchinja Ruvuma

    July 25, 2025
  • RUVUMA kuandika historia mpya

    July 25, 2025
  • RAIS SAMIA kuzindua mradi wa uchimbaji Urani Namtumbo

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.