• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC RUVUMA asikiliza kero za wafanyabiashara soko la Bombambili Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: August 1st, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amefanya ziara ya kutembelea soko la Bombambili lililopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma, kwa lengo la kusikiliza na kujibu kero mbalimbali zinazowakabili wafanyabiashara wa soko hilo.

Katika mkutano huo, wafanyabiashara wamewasilisha kero kadhaa ikiwemo kufungiwa vibanda vya biashara, ubovu wa barabara, uwepo wa majengo mabovu ambayo hayatumiki, vumbi linalosababisha usumbufu kwa wateja, pamoja na kuwepo kwa magenge mitaani ambayo yanadaiwa kuwazuia watu kufika sokoni kununua bidhaa.

Akijibu baadhi ya hoja hizo, Afisa Biashara wa Manispaa ya Songea, Lusajo Mwasongwe, ameeleza kuwa sababu za kufungia vibanda vya biashara ni kutokana na wafanyabiashara kutolipa kodi ya pango, huku vibanda vingine vikiwa bado havijakamilika kwa matumizi rasmi.

Baada ya kusikiliza kero hizo pamoja na majibu kutoka kwa maafisa husika, Kanali Ahmed ametoa maagizo kwa wahusika kuhakikisha changamoto zinazowakabili wafanyabiashara wa soko hilo zinatatuliwa kwa haraka.

Amemuagiza Afisa Biashara wa Manispaa ya Songea kutofungia vibanda vya biashara, na badala yake kuweka mpango wa kuwawezesha wafanyabiashara kulipa kodi ya pango kidogo kidogo huku wakiendelea na shughuli zao katika vibanda hivyo.

Kuhusu ubovu wa barabara, Mkuu wa Mkoa ametoa muda wa wiki mbili kwa Halmashauri ya Manispaa ya Songea kuhakikisha barabara zinachongwa sokoni hapo ili kuboresha mazingira ya biashara.

Akizungumzia suala la magenge yaliyopo mitaani, ameelekeza kuandaliwa utaratibu utakaomuwezesha mfanyabiashara anayetoka maeneo ya mbali kununua bidhaa sokoni hapo kupata fursa ya kuuza bidhaa katika maeneo wanayotokea, hata kwa kuweka vituo maalum vya mauzo, badala ya kufunga magenge yao ili kuwawezesha wananchi kupata unafuu wa maisha kupitia biashara hizo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MUHOGO wa Nyasa ulivyopamba maonesho ya nanenane Mbeya

    August 02, 2025
  • RAIS SAMIA azindua mradi mkubwa wa Urani Namtumbo

    August 01, 2025
  • WATENDAJI Mbinga watakiwa kutekeleza miradi ya maendeleo

    August 01, 2025
  • RC RUVUMA asikiliza kero za wafanyabiashara soko la Bombambili Songea

    August 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.