• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

NERI yakabidhi bidhaa kwa wavuvi Nyasa

Imewekwa kuanzia tarehe: March 7th, 2025

Shirika lisilo la kiserikali la Nyasa Environment Restoration Initiative (NERI) la jijini Dar es Salaam limekabidhi zana za uvuvi na mizinga ya nyuki 20 kwa Kikundi cha Uvuvi cha Dagaa Safi katika kijiji cha Liweta, kata ya Mbaha, wilayani Nyasa. Pia, shirika hilo limekabidhi pikipiki moja kwa Afisa Uvuvi wa wilaya hiyo ili kuwezesha usafiri wake katika kulea kikundi hicho.


Akikabidhi vifaa hivyo katika ofisi za kikundi zilizopo katika mwalo wa Liweta, Mkurugenzi wa NERI, Bw. Daniel Nkondola, amewataka wanakikundi kutumia zana hizo kwa uvuvi endelevu na utunzaji wa mazingira. Vifaa hivyo ni boti nne, injini mbili za boti, nyavu za kuvulia dagaa, chanja za kisasa za kuanikia dagaa, mizinga ya nyuki, sare za kikundi, betri ya gari moja na pikipiki moja kwa Afisa Uvuvi.


Bw. Nkondola ameongeza kuwa ugawaji wa vifaa hivyo unalenga kuhamasisha uvuvi endelevu, uhifadhi wa rasilimali za uvuvi, na utunzaji wa mazingira. Pia, amesisitiza kuwa shirika hilo linatarajia vifaa hivyo vitawajengea wanakikundi uwezo wa kujiajiri, kuongeza kipato, na kupunguza umaskini kwa wakazi wa Wilaya ya Nyasa.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa, Bw. Khalid Khalif, amepongeza juhudi za NERI katika kukuza sekta ya uvuvi na kuhamasisha uvuvi wa kisasa. Aidha, ametoa wito kwa shirika hilo kuendeleza ushirikiano na jamii. Wanakikundi cha Dagaa Safi wameishukuru NERI kwa ufadhili huo, wakisema kuwa umewasaidia kutatua changamoto zao na kuboresha hali yao ya maisha.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa uhuru wazindua jengo

    May 10, 2025
  • MWENGE wa uhuru waingia Pers

    May 10, 2025
  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.