• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TRA Ruvuma yawasogelea wananchi,yavuna mapato zaidi kwa elimu ya kodi

Imewekwa kuanzia tarehe: May 22nd, 2025

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Ruvuma imepiga hatua kubwa katika kuongeza idadi ya wafanyabiashara wanaojiandikisha kulipa kodi .

TRA imendelea kuongeza makusanyo ya mapato, kufuatia jitihada za makusudi kuboresha mahusiano na walipakodi kupitia programu za elimu ya kodi.

Kwa kutumia mikutano ya kijamii, semina, na vikao vya ushauri wa kodi, TRA imeweza kuwafikia wananchi wengi zaidi na kuwaelimisha kuhusu wajibu wao wa kulipa kodi.

, Meneja Msaidizi wa Huduma kwa Walipakodi wa TRA Ruvuma, Hilary Gerald, amesema kampeni ya kutoa elimu imesaidia kwa kiasi kikubwa kuongeza mwitikio wa hiari kutoka kwa wakulima na wafanyabiashara katika kulipa kodi.

Amesema hali hiyo I mechangia kwa kiasi kikubwa kubadilika kwa mtazamo wa wananchi kuhusu ulipaji kodi na kuimarisha mapato ya Serikali.

Gerald ametoa rai kwa walipakodi wote kuhakikisha wanalipa awamu ya pili ya kodi kabla ya tarehe 31 Mei 2025, huku akisisitiza kuwa mwisho rasmi wa malipo hayo ni tarehe 30 Juni 2025.

Wafanyabiashara wamekumbushwa kutoa risiti za kielektroniki (EFD) kwa kila mauzo, huku wanunuzi wakihimizwa kudai risiti hizo ili kusaidia kuimarisha mfumo wa mapato ya taifa

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI yatoa maelekezo kuimarisha utoaji taarifa kwa umma

    May 25, 2025
  • NGORO siri ya kilimo kinachotunza ardhi kwa miaka 300

    May 25, 2025
  • MAAFISA Habari wapewa nguvu mpya,Mchengerwa afungua milango ya mapinduzi ya mawasiliano

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha mabweni na madarasa wilayani Tunduru

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.