• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

DC NAMTUMBO awapongeza mashujaa wa uhifadhi

Imewekwa kuanzia tarehe: July 16th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma Mhe. Ngollo Malenya, ametambua na kuthamini juhudi za wadau mbalimbali wanaopambana kulinda misitu na mazingira ya asili wilayani humo. 


Akiwahutubia wananchi na viongozi katika hafla maalum iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kanisa la Romani mjini  Namtumbo Mhe. Malenya alitoa pongezi za dhati kwa mashirika na jumuiya zinazotetea uhifadhi, akisema mchango wao unaleta mabadiliko chanya kwa vizazi vya sasa na vijavyo.


Wadau waliotunukiwa heshima hiyo ni pamoja na Honeyguide Foundation, Carbon Tanzania—wanaoendesha miradi ya kaboni—pamoja na jumuiya za misitu ngazi ya kijiji na kata, ambao wamekuwa mstari wa mbele kuelimisha jamii, kusimamia misitu kwa pamoja, na kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala. 

Mhe. Malenya alisisitiza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imejikita katika kulinda mazingira na kuhimiza matumizi ya nishati safi kama sehemu ya ajenda ya maendeleo endelevu.

DC Malenya ametoa rai kwa wananchi na wadau wote kuongeza mshikamano katika kuhifadhi rasilimali za taifa, akisema: “Rais Samia ni kinara wa uhifadhi na matumizi ya nishati safi nchini. 

Hafla hiyo pia ilitoa fursa kwa wananchi kupata elimu kuhusu miradi ya uhifadhi na manufaa yake kiuchumi, kijamii na kimazingira.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MISITU ya vijiji inavyoibadilisha Ruvuma kuwa ngome ya kijani ya uchumi mpya

    July 16, 2025
  • DC NAMTUMBO awapongeza mashujaa wa uhifadhi

    July 16, 2025
  • SASA ni zamu yenu kusoma kwa bidiii-DC Tunduru

    July 16, 2025
  • MAWE yanayovutia wengi Mkowela Tunduru

    July 15, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.