• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SASA ni zamu yenu kusoma kwa bidiii-DC Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: July 16th, 2025

Tunawajali, tunajenga mazingira bora ya kusoma – sasa ni zamu yenu kusoma kwa bidii!” – Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma Mhe. Denis Masanja, alitoa kauli hiyo alipofanya ziara rasmi katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Masonya na kuzungumza na wanafunzi wa shule hiyo.

Katika hotuba yake yenye hamasa, Mhe. Masanja alieleza kuwa serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, inaendelea kuweka kipaumbele kwenye sekta ya elimu kwa kujenga na kuboresha miundombinu ya shule kote nchini.

Alibainisha kuwa Shule ya Masonya ni miongoni mwa walionufaika ambapo kwa sasa kuna ujenzi wa bwalo la kisasa la chakula unaoendelea, mradi wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 160 unaotarajiwa kukamilika ifikapo mwishoni mwa mwezi Septemba mwaka huu.

“Serikali yenu inawajali, ndiyo maana tunajenga maoweni, madarasa mapya, na sasa bwalo la kisasa. Huu ni ushahidi wa dhamira ya dhati ya Rais Samia kuhakikisha mnafundishwa katika mazingira bora.

Mhe. Masanja aliwatia moyo wanafunzi wa Masonya kujiamini, kuwa na maono makubwa, na kutambua kuwa elimu ni nguzo kuu ya mafanikio

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MISITU ya vijiji inavyoibadilisha Ruvuma kuwa ngome ya kijani ya uchumi mpya

    July 16, 2025
  • DC NAMTUMBO awapongeza mashujaa wa uhifadhi

    July 16, 2025
  • SASA ni zamu yenu kusoma kwa bidiii-DC Tunduru

    July 16, 2025
  • MAWE yanayovutia wengi Mkowela Tunduru

    July 15, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.