• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

Imewekwa kuanzia tarehe: June 1st, 2025

Katika taswira isiyo ya kawaida lakini yenye ujumbe mzito wa upendo na matumaini, wananchi wa  eneo la  Pacha ya Likuyu Kata ya Namtumbo mkoani Ruvuma wameamua kuonesha hisia zao kwa njia ya kipekee.

Juu ya mti mkubwa uliopo katikati ya eneo hilo, wamelipamba tawi lake kuu kwa picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ishara ya shukrani ya dhati kwa maendeleo yanayoendelea kushuhudiwa wilayani humo.

Kwa wakazi wa eneo hili, mti huo haukuwa wa kawaida tena umegeuka kuwa “mnara wa matumaini”, wakiitazama picha hiyo juu ya mti kama alama ya mapinduzi ya kijamii na kiuchumi yanayofanywa na serikali ya awamu ya sita.

Wananchi hao wamesema wameweka picha hiyo si kwa heshima tu, bali kama sauti isiyo na maneno inayoonesha jinsi walivyoguswa na uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanyika kwenye sekta za afya, elimu, barabara na maji sekta ambazo zamani zilikuwa changamoto kubwa kwao.

“Tumeamua kuiweka picha ya Mama yetu Rais Samia juu ya mti huu mkubwa kwa sababu yeye ni taa yetu ya maendeleo,” alisema mmoja wa waendesha bodaboda kwa hisia.

“Hatukuwa na barabara, sasa tunayo. Hatukuwa na maji, sasa bomba linapita. Hili ni jambo la kumshukuru.” Kauli hii imejikita mioyoni mwa wananchi wengi ambao sasa wanaishi maisha yaliyojaa matumaini mapya kutokana na uboreshwaji wa huduma za msingi.

Kwao, Rais Samia si kiongozi tu bali ni chombo cha mabadiliko na dira ya maisha bora. Imani yao ni kuwa mwamko huu wa maendeleo hautaishia Namtumbo tu, bali utazidi kufungua fursa nyingi zaidi kwa mikoa yote ya pembezoni.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBOLEA ya ruzuku yaipandisha kahawa nyasa kwa kiwango cha juu

    June 07, 2025
  • NMB yawasha moto Peramiho;Bonanza lenye elimu ya fedha na michezo lavutia wengi

    June 07, 2025
  • MBINGA DC Mail kuleta mapinduzi ya Biashara na ajira wilayani Mbinga

    June 07, 2025
  • MAPUMZIKO mema ya Sikukuu

    June 07, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.