• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

Wakulima wa ufuta Namtumbo wapata Bilioni 2

Imewekwa kuanzia tarehe: May 22nd, 2019

MNADA WA UFUTA WAINGIZA SHILINGI BILIONI 2 NAMTUMBO

Namtumbo, 22 Mei, 2019

Wakulima wa ufuta wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma wamepongeza serikali kwa usimamizi mzuri wa soko la zao hilo kupitia mnada uliowezesha kulipwa shilingi bilioni mbili  .

Akizungumza wakati wa mnada wa pili wa zao la ufuta uliofanyika jana Namtumbo ,mwenyekiti wa chama kikuu cha Ushirika  cha Songea na Namtumbo   (SONAMCO )Salum Brashi  amesema,serikali imefanya uamuzi sahihi kuanzisha minada ya ufuta

“Bei ya ufuta katika mnada wa leo imeweza kupanda kutokana na wanunuzi wengi kujitokeza hapa Namtumbo hivyo kufikia kilo kuuzwa shilingi 3,061 tofauti na mnada wa kwanza kilo iliuzwa shilingi 3,010 “alisema Brashi

Alisema haya ni mafanikio makubwa na ukombozi wa kiuchumi kwa wananchi wa Namtumbo

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mnada wa  pili wa ufuta ,Afisa Kilimo Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Enock Ndunguru alisema jumla ya makampuni 13 yalijitokeza kuomba kununua ufuta

Ndunguru alisema kwenye mnada huo jumla ya tani zilizokuwa katika ghala ni 666.26 ambapo bei ya juu iliyofikiwa na kampuni ilikuwa shilingi 3,061

Kampuni ya YIHAI Kerry  toka China ilitangazwa kushinda mnada huo kwa kununua tani 400 kwa shilingi 3,061  ikifuatiwa na  kampuni ya Export Trading ya Tanzania ikinunua tani 266.2 zilizosalia kwa shilingi 3,050 kwa kilo ya ufuta.

“Jumla ya shilingi 2,034,630,000/- zimepatikana kwenye mnada huo ambapo bei ya uwiano ni shilingi 3,055 huku mkulima akilipwa shilingi 2,774.04 kwa kilo ya ufuta na makato yote yatakuwa shilingi 281 kwa kilo “ alisema Ndunguru

Mnada wa kwanza wa ufuta katika wilaya ya Namtumbo ulifanyika wiki iliyopita ambapo jumla ya tani 240.26 zenye thamani ya shilingi 723,201,263 zilipatikana kwa bei ya shilingi 3,050 kwa kilo.

Kwenye mnada huo wa kwanza kampuni ya Sunshine Commodities Private ltd ya Mtwara ilishinda kati ya kampuni saba zilizojitokeza.

Mwisho

Imetolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Ruvuma.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBOLEA ya ruzuku yaipandisha kahawa nyasa kwa kiwango cha juu

    June 07, 2025
  • NMB yawasha moto Peramiho;Bonanza lenye elimu ya fedha na michezo lavutia wengi

    June 07, 2025
  • MBINGA DC Mail kuleta mapinduzi ya Biashara na ajira wilayani Mbinga

    June 07, 2025
  • MAPUMZIKO mema ya Sikukuu

    June 07, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.