• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

ASILIMIA 70 ya wananchi Ruvuma wanapata huduma ya maji safi na salama

Imewekwa kuanzia tarehe: May 21st, 2023

WATU 1,257,180 sawa na asilimia 70 ya wakazi wote wa Mkoa wa Ruvuma hadi kufikia Novemba 2022 wanapata huduma ya maji safi na salama.

Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa wa Ruvuma una jumla ya watu 1,848,794.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amelitaja lengo la Mkoa ni kuhakikisha wanatoa huduma ya maji safi na salama kwa asilimia 85 kwa wakazi waishio vijijini na asilimia 95 kwa wakazi waishio mjini ifikapo mwaka 2025.

Akizungumzia huduma ya maji mijini,Kanali Thomas amesema Mkoa wa Ruvuma una miji sita ambayo ni makao makuu ya Halmashauri za  Songea,Mbinga,Madaba,Tunduru,Namtumbo na Mbambabay.

Hata hivyo amesema hadi kufikia Oktoba 2022,huduma ya maji safi na salama katika makao makuu ya miji hiyo ilikuwa ni asilimia 72.7.

Ameitaja idadi ya watu wanaopata huduma ya maji safi na salama vijijini mkoani Ruvuma kuwa ni asilimia 68 sawa na watu 1,005,745 kulingana na sensa ya watu yam waka 2022.

“Kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Mkoa wa Ruvuma ulitengewa zaidi ya shilingi bilioni 16 kwa ajili ya utekelezaji miradi mbalimbali ya maji’’,alisisitiza Kanali Thomas.

Kwa upande wake Meneja wa RUWASA Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Rebman Ganshonga  amesema vijiji 525 kati ya vijiji 551 vinavyohudumiwa na RUWASA mkoani Ruvuma, vinapata huduma ya maji safi na salama na kwamba hadi sasa ni vijiji 170 mkoani Ruvuma havina huduma ya maji.

Hata hivyo amesema hadi kufikia Novemba 30,2022,Mkoa wa Ruvuma ulikuwa unatekeleza miradi ya maji 32 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 51 na kwamba miradi hiyo itakapokamilika itahudumia zaidi ya wakazi 264,000 wa vijiji 81.

Huduma ya maji safi na salama katika Mkoa wa Ruvuma inatolewa na Jumuiya za watoa huduma ya maji ngazi ya jamii ambapo hadi sasa Mkoa una jumuiya 116

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.