• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MILIONI 395 zatolewa kujenga miradi 6 Songea DC

Imewekwa kuanzia tarehe: October 10th, 2022

SERIKALI kupitia mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF imetoa Zaidi ya shilingi milioni 395 kujenga miradi 6 katika vijiji vya Parangu na Mdunduwalo vilivyopo Songea Vijijini

Hayo yamesemwa na Katibu tawala Wilaya ya Songea Pendo Daniel kwenye mkutano uliofanyika kata ya Maposeni akieleza namna Serikali ilivyo amua kutekeleza miradi miwili ya maendeleo katika vijiji hivyo kwani lengo la Serikali kuishirikisha jamii dhana ya kujitegemea

Akizungumza kwenye mkutano huo mbele ya uongozi wa halmashauri  pamoja na Wananchi, alisema kukamilika kwa miradi hiyo italeta tija kwao  kwani wataweza kufanya biashara za uhakika pia ni jukumu lao kushiriki hatua zote za ujenzi wa miradi hiyo

“Ni matumaini yangu miradi hii itakuza uchumi wa kaya pamoja na kuongezeka kwa kipato cha mtu mmoja mmoja pia kujengwa kwa miradi hii 6 katika vijiji vya Parangu na Mdunduwalo  itaongeza upatikanaji wa uduma mbalimbali za kijamii”alisema Pendo Daniel

Hata hivyo amewasisitiza viongozi wa vijiji pamoja na kamati za ujenzi wa miradi hiyo kushirikiana na wananchi katika kutekeleza ujenzi kwani asilimia 10 ya ujenzi itatolewa na wananchi katika kufanikisha kukamlikia kwa miradi yote

Akizungumza mbele ya wananchi mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mhe, Menasi Komba amemshukuru Rias kwa kuwezesha kutoa fedha hizo za miradi kwani nifuraha kwao kujengewa miradi hiyo pia vile vile amewaomba wananchi wailinde mradi yote nakushiriki hatua zote za ujenzi

“Wale wote watakaobainika kuiba vifaa vya ujenzi kwenye miradi hii hatua zitachukuliwa pia niwaombe wajumbe na wanakamati wa miradi wa vijiji vyote viwili msishawishike hizi fedha zimeletwa kwa malengo kukuza uchumu wa kaya zetu”alisema Komba.

Naye Nicodemus Nyoni mwananchi wa kijiji cha Parangu amemshukuru Mbunge wa jimbo hilo Jesinita  Mhagama kwa kuweza kupelekewa fedha za miradi wa ujenzi wa standi alisema kukamilika kwakwe kwao itawasaidia kujipatia kipato na itaongeza uhakika wa huduma mbalimbali  

Fedha hizo ambazo zimetolewa na mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF ambapo kijiji cha Parangu  kimepokea shilingi milioni 225 za ujenzi wa miradi mitatu ambapo ni standi, uwekaji wa vigaya pamoja na kujenga matundu manne ya vyoo na uzio

Vile vile kjiji cha Mdunduwalo kimopokea shilingi milioni 170 za ujenzi wa miradi mitatu ujenzi wa nyumba ya madaktari wa wili, matundu sita ya vyoo pamoja na uchimbaji wa kisima kirefu cha maji   

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.