• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma kuzalisha parachichi zaidi ya tani 37,000

Imewekwa kuanzia tarehe: November 13th, 2022

MKOA wa Ruvuma unatarajia kuzalisha zao la parachichi  tani 37,500 ifikapo mwaka 2025.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kanali Laban Thomas amesema Mkoa  umelenga kuongeza uzalishaji wa zao hilo kama yalivyo mazao mengine ya biashara kwa lengo la kuwawezesha wananchi kukuza uchumi kwa miezi ya Februari na Mei kila mwaka.

RC Thomas amelitaja lengo kuwa ni kuongeza uzalishaji wa parachichi kutoka hekta 2,446 zinazozalisha tani 1,769 hivi sasa  na kufikia zaidi  tani 37,000 mwaka 2025 na kwamba uzalishaji huo utafikiwa kwa  kuweka mikakati itakayoongeza tija ya uzalishaji.

“Tija ya uzalishaji kwa eneo kwa sasa ipo chini ambapo uzalishaji kwa eneo la hekta moja ni tani 0.7228,miongoni mwa mikakati inayotekelezwa ili kuongeza uzalishaji wa zao la parachichi ni kuwezesha kuwaunganisha wakulima kupitia vikundi vya wakulima’’,alisema.

Mikakati mingine ameitaja kuwa ni kuwapatia wakulima mbegu za parachichi,kuwafundisha namna ya kuanzisha kitalu cha miche ya parachichi,kuwafundisha namna ya kubadi(grafiting),kuandaa shamba,kupanda na kuhudumia  miche ya parachichi.

Kwa upande wake Afisa Kilimo ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Onesmo Ngao,amesema katika msimu wa mwaka 2021/2022 ,wakulima wamehamasishwa kulima zao la parachichi ambalo hivi sasa lina soko kubwa ndani ya nje ya nchi hasa katika nchi ya China ambayo ina mahitaji makubwa ya zao hilo.

Akizungumza mjini Songea hivi karibuni Balozi wa China nchini Tanzania Mheshimiwa Chen Mingjian alitoa rai kwa wakulima  wa Mkoa wa Ruvuma kuongeza uzalishaji wa zao la soya na parachichi kwa kuwa soko la mazao hayo nchini China ni kubwa.

Uzalishaji wa zao la parachichi mkoani Ruvuma unafanyika katika  wilaya za Songea,Mbinga na Nyasa.

Imeandikwa na Albano Midelo

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Mkoa wa Ruvuma

Novemba 13,2022

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.