• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

NYASA kuwa kituo maalum cha kiuchumi katika ushoroba wa Mtwara

Imewekwa kuanzia tarehe: September 8th, 2022

Balozi wa Tanzania nchini Malawi Mheshimiwa Humphrey Polepole amefanya ziara mkoani Ruvuma katika Wilaya ya Nyasa, lengo likiwa kutazama fursa zilizopo katika ushoroba wa Mtwara hadi bandari Ndumbi.

Balozi Polepole amesema ziara yake mkoani umo ni kuendelea kuitafutia nchi fursa mbalimbali kutoka nje ya nchi ambazo zitakuwa na manufaa kwa wananchi pamoja na serikali, uku akiwataka wadau mbalimbali kuchangamkia fursa katika ushoroba wa Mtwara.  

Hata hivyo ameeleza kuwa ushoroba huo ni mfupi Zaidi kunisi mwa nchi za Afrika kuliko shoroba zote, kwani barabara yake inayo jumla ya umbali wa kilomita 822 kutoka bandari ya Mtwara mpaka bandari ya Ndumbi.

“Kazi yetu sisi tuliopewa dhamana ya kuiwakilisha nchi uko nje ni kutafuta fursa zitakazo ongeza mapato kwa taifa, nimetoa ombi kwa mkuu wa mkoa, tunaanzishe eneo la kiuchumi ambalo bidhaa zote zinazopatikana kariakoo  zipatikane hapa ili kuwavuta wafanya biashara wa nchii jirani Malawi na msumbiji” alisema Polepole.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas, ameishukuru serikali kwa  kutekeleza mradi wa ujenzi wa bandari ya ndumbi ambayo imegarimu Zaidi ya bilioni 12, alisema hii ni faraja kwa mkoa na kwa wilaya ya nyasa

“Kama Mkoa, sisi tumeshajianda tayari kuanzia maeneo maalum ya uwekezaji ambapo bidhaa zote zinazohitajika nchi jirani tulizopakana nazo Malawi na Msumbiji, kuwa bidhaa hizo zitapatikana hapa na lengo nikupunguza umbali wa wao kwenda dar es salaam na kama mkoa tupo tayari kuwawezesha wafanya biashara” alisema Kanali Thomas

Hata hivyo kwasasa mradi huo umekamlika na upo hatua ya uangalizi wa mwaka mmoja na upo tayari kwa matumizi, kukamilika kwa mradi huo itarahisisha Wilaya ya Nyasa  kuinuka kwa uchumi 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.