• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI kutoa vifaa katika kituo cha Afya Kindimbachini

Imewekwa kuanzia tarehe: October 24th, 2023

 Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema kuwa Kituo cha Afya Kindimbachini kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma kitapokea vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi Milioni 710 ndani ya mwezi mmoja ili kuboresha na kuimarisha utoaji wa huduma za afya kituoni hapo

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel katika uzinduzi wa Kituo cha Afya Kindimbachini kilichopo katika Kata ya Muungano Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, Mkoa wa Ruvuma

Dkt. Mollel ameeleza kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Uongozi imara wa Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kuboresha utoaji wa Huduma za afya nchini kwa kuhakikisha vituo vya kutolea Huduma za afya vinakuwa na miundombinu bora, vifaa tiba na vitendanishi, dawa pamoja na uwepo wa wataalamu wa Afya.

Aidha amewapongeza wananchi wa Kata hiyo kwa kuchangia shilingi Millioni 22 kwaajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya pamoja na shilingi Millioni 9 kwaajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi wa Afya.

"Niwapongeze sana wananchi wa kata ya Muungano kwa kuunga mkono serikali ya Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo ili kuhakikisha afya zenu na watanzania kwa ujumla zinakuwa salama”, Amepongeza Dkt. Mollel

Pia ametoa wito kwa wananchi hao kuendelea kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo nchini ili kuweka mazingira rafiki kwa vizazi vya baadae.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Muungano, Mhe. Paulo Kayombo ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi makini wa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuimarisha utoaji wa huduma bora za Afya kwa wananchi kwakua wananchi hao walilazimika kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya katika vituo vingine jirani hususani wakina mama wajawazito wakati wa kujifungua.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.