• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANANCHI wa Madaba wapongeza utekelezaji Ilani ya CCM

Imewekwa kuanzia tarehe: February 23rd, 2025

Wananchi wa Kata ya Mkongotema, Halmashauri ya Madaba wilayani Songea mkoani Ruvuma wameelezea furaha yao kuhusu utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Madaba. 

Wakizungumza katika mkutano wa Mbunge wa Jimbo la Madaba Dkt Joseph Mhagama Wamekiri kuwa miradi ya maendeleo iliyotekelezwa imeondoa changamoto nyingi zilizowakabili, huku wakifurahia kuboreshwa kwa huduma muhimu kama maji, umeme, elimu, na afya.

Hazidu Mussa Njozi, mkazi wa Kijiji cha Lutukila, amesema kero zilizokuwepo zimepatiwa ufumbuzi na kusisitiza kuwa Mbunge Mhagama ameonesha dhamira ya dhati kwa wananchi. 

Mwenyekiti wa Kijiji cha Ndelenyuma, Stanley Ngairo, amepongeza juhudi za mbunge huyo na kusema miradi ya maendeleo inayoendelea katika maeneo yao imeleta mabadiliko makubwa. 

Katika ziara yake ya kikazi, Mbunge Joseph Mhagama alieleza kuwa lengo la Serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za kijamii. 

Amesema sasa wakazi wa Mkongotema wanapata huduma muhimu kama maji, umeme, barabara, afya, na elimu, ambazo awali zilikuwa changamoto kubwa kwao.

Mhagama ameongeza kuwa mradi wa kusambaza maji kutoka Lutukila hadi Mtazamo umetekelezwa na kusaidia wakazi waliokuwa na changamoto ya maji safi. 

Kata hiyo inatarajia kupokea Shilingi bilioni 1.12 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari, huku umeme ukiwa umesambazwa hadi maeneo ya mbali ambayo awali hayakuwa na huduma hiyo muhimu. 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.