• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BARAZA la madiwani Songea lasisitiza wataalamu kukusanya mapato

Imewekwa kuanzia tarehe: August 25th, 2023

BARAZA la madiwani katika Halmashauri ya wilayanya Songea mkoani Ruvuma limetoa rai kwa watalaamu wa Halmashauri hiyo kuongeza jitihada zaukusanyaji wa mapato ili kuongeza mapato ya ndani.

Akizungumza  kwenye kikao hicho,Kaimu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo  Mheshimiwa Simon Kapinga ambae ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri amewataka wataalamu kuendelea na zoezi la doria katika ukusanyaji wa mapato ili kuongeza mapato ambayo yatakwenda kukamilisha miradi iliyopo katika Kata na Vijiji na shughuli za maendeleo.

WAHESHIMIWA Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea wamefanya Baraza la robo ya nne kwa mwaka ulioishia Juni 2023 leo tarehe 24/08/2023 katika ukumbi wa mikutano Lundusi-Peramiho.

Baraza hilo limeudhuriwa na Waheshimiwa Madiwani, Mkurugenzi Mtendaji, Wakuu wa Idara na Vitengo, Watendaji wa Kata, Wataalamu kutoka TAKUKURU, Usalama na Ofisi ya RAS.

Sambamba na hilo Mhe. Kapinga amewataka Watendaji wa Kata na Vijiji kufanya mikutano ya hadhara yenye lengo la kuwahimiza wananchi kutunza mazao kwa ajili ya chakula.

“Bei ya mazao kwa sasa ipo juu hivyo Watendaji katika mikutano hiyo waambieni wananchi wasidanganyike na bei hizo wakapata tamaa ya kuuza chakula chote wajitahidi kutunza chakula kingine kwa ajili ya familia”, amesisitiza Mhe. Kapinga.

Vilevile Mheshimiwa Kapinga amesisitiza Idara za Elimu Msingi na Sekondari kufanya jitihada za makusudi kwa shule ambazo zina wanafunzi wa jinsia ya kike na kiume ambazo hazina walimu wa kike ziweze kupelekewa kwani itasaidia wanafunzi hao kuwa huru kuelezea changamoto zao.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.