• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

Benki ya Dunia yatoa milioni 220 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: May 19th, 2021

Benki ya Dunia imetoa shilingi milioni 220 kutekeleza Mpango endelevu wa Maji na Usafi wa Mazingira katika Halmashauri ya Wilaya Songea Mkoani Ruvuma.

Kaimu Mganga mkuu wa Halmashauri hiyo Dr Geofrey Kihaule amesema fedha hizo zimetolewa kwa madhumuni ya kutekeleza ujenzi na uboreshaji wa miundo mbinu ya kutolea huduma za afya kwenye Zahanati.

Amesema miundo mbinu inayotakiwa kujengwa na kuboreshwa ni chumba cha kujifungulia akinamama wajawazito, chenye viwango vinavyokubalika Kimataifa,matundu saba ya vyoo ikijuisha choo ya walemavu,kichomea taka,na miundo mbinu ya kutolea huduma ya maji.

Dr kihaule amesema ujenzi wa miundo mbinu ya kutolea huduma za afya kwenye zahanati kutasaidia wananchi hususani akinamama kuwa katika mazingira salama ya kujifungulia na mazingira ya faragha pindi wanapofika katika vituo hivyo.   

Dr kihaule amevitaja Vijiji 10 ambavyo vitanufaika na mradi huo kuwa ni Litowa,Parangu,Lugagara,Peramiho (B),Muungano Zomba,Vijiji ni vingine            ni Mgazini,Kilagano,Ngahokora,Liula na Kikunja.

 Ameongeza kwa kusema muda wa utekelezaji wa mradi ni siku 40 kulingana utaratibu uliopanga wa utekelezaji,katika kufanikisha kazi hiyo vikao kazi baina ya kamati za afya za Vijiji na viongozi wa Serikali za vijiji tayari vimefanyika na ujenzi unatarajia kuanza mara moja kuanzia mwezi Mei  17,2021.

Kwa upande wake Afisa Afya wa Wilaya hiyo na Mratibu wa mradi huo John Kapitingana amesema mradi wa mpango endelevu wa maji na usafi wa mazingira unafadhiri kwa utaratibu wa lipa kulingana na matokeo (EP4R).

“Tushrikiane katika kutoa matokeo chanya ya mradi”,amesisitiza Kapitingana.

Kapitingana ametoa wito kwa viongozi wa vijiji na wananchi kujenga mshikamo na ushirikiano katika kufanikisha ujenzi huo na kutoa matokea chanya ambayo yatasababisha Benki ya Dunia kuendelea kutoa ufadhili kwa zahanati nyingi katika halmashauri.

Baadhi ya viongozi wa kamati ya afya ya Kijiji cha Litowa ambao ni Lukulesi mkinga na abdallah kassimu   wamesema wameupokea mradi na watashirikiana na wananchi kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati na unatoa huduma iliyokusudiwa.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma inajumla ya Zahanati 24,kituo cha Afya kimoja na Hospitali moja ya Wilaya iliyojengwa Kijiji cha Mpitimbi (B) kata ya Mpitimbi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.