• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

DC MBINGA ashiriki maziko ya wanafunzi watatu waliopigwa radi

Imewekwa kuanzia tarehe: February 24th, 2024

mkuu wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Mheshimiwa Aziza Mangosongo ametoa majeneza matatu na kushiriki maziko ya wanafunzi watatu wa shule za Msingi Kindimba chini na Mapendo ambao wamepoteza maisha baada ya kupigwa na radi.

Mangosongo amewataja wanafunzi waliopoteza maisha baada ya kupigwa na radi kutoka shule ya msingi Kindimbachini kuwa ni Maria Hyera mwenye umri wa miaka kumi ,Alfons Hyera miaka minane Deus Kayombo miaka minane kutoka shule ya msingi Mapendano.

Mkuu wa Wilaya pia ametoa rambirambi  na kutoa pole kwa majeruhi 11 ambao wanaendelea kupata matibabu katika kituo cha  Afya Kindimbachini.

Ili kuhakikisha afya za majeruhi hao zinaimarika Mangosongo amemuagiza Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kindimbachini kuhakikisha huduma za afya  zinatolewa bure.

Akitoa salamu za pole  Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Andrew Mbunda amemhakikishia Mkuu wa Wilaya kuwa  huduma za afya  zitatolewa kwa ubora  kama alivyoagiza.

Naye  Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kindimbachini Dkt. Salum Bundala amesema katika tukio hilo  wanafunzi watatu wamepoteza maisha, na wanafunzi 20 walijeruhiwa na kufikishwa kituoni hapo kwa ajili ya kupatiwa matibabu ambapo kati yao 9 wameruhusiwa na 11 wanaendelea na matibabu na hali zao zinaimarika.

Akielezea tukio  hilo Mwalimu  Mkuu wa Shule ya msingi Mapendano Danstan Hyera  amebainisha  kuwa  majira ya saa tisa alasiri radi ilipiga na  wanafunzi 23 kati yao 20 walijeruhiwa  na wanafunzi  watatu walipoteza maisha.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.