• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

DC Mtatiro atoa siku 14 kwa RUWASA kufanya tathimini ya maji mto Nampungu

Imewekwa kuanzia tarehe: June 23rd, 2022

MKUU wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Julius Mtatiro,ametoa siku kumi na nne(14)kuanzia jana kwa Wakala wa Usambazaji maji  vijijini(RUWASA)wilayani humo kwenda kata ya Nampungu ili kufanya tathimini katika eneo la Mto Nampungu kwa ajili ya kuongeza wigo wa upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wakazi wa kata hiyo.

Mtatiro ametoa agizo hilo jana,akiwa katika ziara yake ya kuzungumza na wananchi,kukagua na kuhimiza shughuli za maendeleo zinazotekelezwa  na  Serikali kwa kushirikiana na wananchi wa vijiji mbalimbali wilayani humo.

Alisema,wananchi wa kata hiyo wanakabiliwa na  kero kubwa ya huduma ya maji safi na salama licha ya kuwa na chanzo kikubwa na cha uhakika ambacho ni mto maarufu wa Nampungu unaotiririsha maji majira yote ya mwaka.

Ameitaka Ruwasa kuhakikisha wanamaliza kero hiyo ili wananchi wapate nafasi ya kufanya shughuli zao za kujiletea maendeleo,badala ya kutumia muda mwingi kwenda kutafuta maji kwa ajili ya matumizi yao ya kila siku.

Aidha,amewataka wananchi  wa wilaya ya Tunduru kuendelea kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake ya awamu ya sita kwani katika kipindi cha mwaka mmoja wilaya hiyo imepokea zaidi ya Sh.bilioni 23 kwa ajili ya kutekeleza shughuli za maendeleo.

Pia katika ziara hiyo, Mtatiro amekagua barabara ya urefu wa km 27 inayojengwa kwa kiwango cha Changarawe kutoka Nandembo hadi Nampungu ambayo imemaliza changamoto ya mawasiliano kwa wakazi wa kata hizo mbili.

Mtatiro amempongeza Meneja wa Tarura wilayani humo Mhandisi Silvanus Ngonyani, kwa kazi na matumizi mazuri ya fedha za Serikali ambazo zimewezesha kujenga miradi mikubwa kuliko bajeti iliyoletwa wilayani humo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.