• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

DC TUNDURU akemea upendeleo katika ugawaji pembejeo za ruzuku

Imewekwa kuanzia tarehe: August 22nd, 2024

MKUU wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma  Mheshimiwa Simon Chacha,amewataka Viongozi wa Vyama vya Msingi vya Ushirika(AMCOS)Wilayani humo,kuacha upendeleo kwenye ugawaji wa pembejeo za ruzuku zinazotolewa bure na Serikali ili kila mkulima aweze kunufaika na pembejeo hizo zinazotumika kwa ajili ya kupulizia mikorosho.
Amesema,hatua hiyo itajenga imani,kuleta mshikamano na kuepusha migogoro isiyokuwa ya lazima kati yao na wanachama wao wanaowaongoza.
Chacha amesema hayo,alipokuwa akizungumza na baadhi ya wakulima wanaohudumiwa na Chama cha msingi cha Ushirika cha Mtetesi AMCOS, baada ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa wakulima wa vijiji vinne vya Mtonya,Mindu,Liwangula na kitingoji cha Mjimwema wakilalamika kukosa mgao wa dawa aina ya Sulfa, hivyo kushindwa kuendelea na maandalizi ya kilimo cha zao la korosho katika msimu 2024/2025.
Amesema,iwapo viongozi ambao ni wasimamizi wa Amcos hizo watafanya shughuli kwa misingi ya upendeleo na kutanguliza maslahi binafsi ,basi juhudi za kufikia malengo kupitia sekta ya ushirika zitakwama.
Amesisitiza kuwa,ili malengo ya chama yaweze kufikiwa ni muhimu kwa viongozi wa Ushirika kufanya kazi kwa kufuata sheria,usawa,kutenda haki,uwazi na uwajibikaji na kukumbuka malengo ya kuanzishwa kwa Ushirika ili wanachama wapate mkombozi katika harakati za kupambana na umaskini.

Kwa upande wake Meneja wa Chama kikuu cha Ushirika(TAMCU ) wilayani humo Marcelino Mrope amesema,katika mapokeo ya Sulfa katika msimu wa kilimo 2024/2025 maghala matatu yamehusika ambayo ni ghala la Chama kikuu cha Ushirika,ghala la chama cha msingi Namiungo na Namitili Amcos.
Mrope,amekiri wakulima wa Chama cha Namitili na Namiungo AMCOS wamepata mgao wa Sulfa mara mbili ikilinganishwa na wakulima wa vijiji vingine kutokana na maghala yake kuwa na sifa.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.