• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa aipongeza Tunduru kwa kuvuka lengo la ukusanyaji mapato

Imewekwa kuanzia tarehe: June 16th, 2021

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali  Wilbert Ibuge ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Tunduru kwa kuvuka lengo kwa kukusanya mapato ya ndani zaidi ya Bilioni tatu ambapo makadirio yalikuwa bilioni bilioni 2.5 n kwa mwaka.

Aidha Mkuu wa mkoa wa Ruvuma amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri  ya Wilaya ya Tunduru Ndugu Gasper Zahoro Balyomi kwa kuweza kulipa staiki zote za madiwani kwa wakati adi sasa hakuna diwani hata mmoja anaedai staiki zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru  pia Mkuu wa mkoa wa Ruvuma ameipongeza Halmashauri kwa kutoa kiasi cha Milioni miambili ishilini na  nne  ni 10%  ya Wanawake, Vijana  na walemavu.Pia Mheshimiwa Mkuu wa mkoa wa Ruvuma amewataka Wakuu wa Idara na Vitengo  wa Halmashauri ya wilaya ya Tunduru kuacha kujibu hoja za CAG kwa mazoea kwani hali hiyo ya kujibu hoja za CAG kwa Mazoea ndiyo iliyoa pelekea kupata hati yenye Mashaka  aidha Mkuu wa mkoa alisema kuwa kwa miaka mitano mfululizo kuanzia mwaka 2014-2015 mpaka 2018-2019 Halmashauri ya wilaya ya Tunduru imepata hati safi sasa kwa mwaka 2019 – 2020 kwa Halmashauri ya wilaya ya Tunduru kupata Hati yenye shaka kwa hali hii Wakuu wa Idara wanatakiwa kuacha kujibu hoja kwa mazoea ili Halmashauri ya Tunduru iweze kurejea kupata hati safi kama kawaida yake.

 Mkuu wa mkoa amewataka Waheshimiwa madiwani wanapo kuwepo katika maeneo yao ya kiutwala washirikiane na uongozi wa vijiji vyao kuhakikisha  hakuna raia yeyote kutoka Nchi jirani ya Msumbiji ana vuka mpaka kuingia Tanzania kwani Hali ya kiusalama kwa majirani zetu msumbiji sio zuri hivyo viongozi na wananchi wanaoishi vijiji vya mpakani ndio walinzi namba moja  katika kuhakikisha Wahamiaji haramu hawaingii katika Nchi yetu ya Tanzania.

Imeandikwa na Afisa Habari wilaya ya Tunduru

Juni 15,2021


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.