• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

HALMASHAURI zitenge maeneo ya wafugaji na wakulima

Imewekwa kuanzia tarehe: August 30th, 2022

MKOA wa Ruvuma umeweka mikakati ya kuzuia migogoro ya wakulima na wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi.

Afisa Mifugo wa Mkoa wa Ruvuma Nelson  William amesema Halmashauri za Wilaya za Mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na chama cha wafugaji (CCWT) waone umuhimu wa kufanya Sensa ya Mifugo.

Amesema mikakati hiyo ikiwemo  kutambua wafugaji na mifugo iliyopo katika kila kijiji ili kujua takwimu sahihi  ya mifugo  katika upangaji wa mipango ya  ardhi,miundombinu ya mifugo  na huduma za jamii.

Hata hivyo amesema Halmashauri za Wilaya za Mkoa wa Ruvuma zione uwezekano wa kufanya utaratibu wa kuwatengea wafugaji  eneo la kuchungia  katika vijiji vilivyoainishwa  kwaajili ya ufugaji  na kuwekewa mipaka ya kudumu.

“Kila Halmashauri ione umuhimu wa kuwaelimisha na kuwahamasisha wafugaji  juu ya umuhimu wa utoaji  wa takwimu  sahihi za mifugo”.

Wiliam amesema Wafugaji na wakulima walio katika maeneo yasiyo rasmi mfano hifadhi ya misitu  ya Muhuwesi,Sasawala na Ushoroba wa Kilimasera waondoke kwa hiari waende katika maeneo yatakayoruhusiwa kuchungia.

“Halmashauri zione uwezekano wa kukamilisha mipango ya matumizi bora ya ardhi kwa vijijivyenye wafugaji,wahamiaji wakulima wazawa  na watumiaji wengine”.

Amesema Halmashauri za Mkoa zione umuhimu wa kushirikiana na asasi zingine kwa mfano MVIWATA,RUCODIA,PASS,pamoja na wadau wenginewa maendeleo na makundi ya wafugaji ,chama cha wafugaji  katika zoezi la uandaaji wa mipango  ya matumizi bora ya ardhi.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Agosti 30,202.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.