• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

HOSPITALI ya Namtumbo ilivyoboresha huduma za afya

Imewekwa kuanzia tarehe: January 20th, 2025

Hospitali ya Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma ambayo ilianza kutoa huduma zake mwaka 2014 na kuanza huduma za upasuaji mwaka 2022, inaendelea kuwa kituo muhimu cha huduma za afya kwa wakazi wa wilaya hiyo.

Kulingana na taarifa ya Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo, Dr.Aron Hyera hadi sasa , hospitali hiyo inajivunia kuwa na jumla ya majengo 16 yaliyojengwa kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni  tatu

“Majengo hayo yamekamilika na yanatumika, yakiwemo jengo la maabara, jengo la huduma za baba, mama na mtoto, jengo la macho, pamoja na jengo la afya ya kinywa”,alisema.

Amezitaja huduma zinazotolewa hospitalini hiyo kuwa ni pamoja na matibabu ya wagonjwa wa nje, huduma za maabara kwa vipimo mbalimbali, radiolojia, na kulaza wagonjwa wa aina mbalimbali, ikiwemo wanawake wanaojifungua na wanaohitaji upasuaji wa uzazi.

Aidha, hospitali hiyo inatoa huduma za kulaza wagonjwa wa kike, wa kiume, na watoto.

Hata hivyo amesema hivi karibuni, hospitali hiyo ilipokea kiasi cha shilingi milioni 575 kwa ajili ya kuboresha huduma zake. Kati ya fedha hizo, milioni 300 zimetengwa kwa ununuzi wa vifaa tiba.

Amesema zaidi ya milioni 200,zimetolewa kwa ujenzi wa miundombinu ya maji na  ujenzi wa njia za kutembelea (walkways) ambazo zitaunganisha majengo yote ya hospitali hiyo.

Hatua hizi zinatarajiwa kuboresha zaidi huduma zinazotolewa hospitalini hapo na kuimarisha ustawi wa afya ya wakazi wa Wilaya ya Namtumbo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.