• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

IDADI ya wagonjwa wa corona Tanzania inavyopungua kwa kasi

Imewekwa kuanzia tarehe: May 25th, 2020

Serikali imetoa hali mwenendo wa wagonjwa wa Corona ambao walikuwa wametolewa taarifa hapo awali kuwa na maambukizi ya virus hivyo hapa nchini na kusema idadi hiyo imepungua kwa kiasi kikubwa sana tofauti na hali ilivyokuwa hapo mwanzo.

Takwimu hizo zimetolewa Jijini Dodoma na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa wakati wa ibada ya swala ya iddi iliyofanyika katika msikiti wa Gadafi jijini humo.

Waziri Mkuu Majaliwa amesema maambukizi hayo yamepungua kwa kasi kikubwa sana na baadhi ya hospitali hizo kubaki na wagonjwa wachache Sana na nyingine kutokuwa na wagonjwa kabisa, katika hospitali zote hasa jiji la Dar es saalam lililokuwa na wagonjwa wengi.

Akitoa idadi hiyo amesema " mfano hospitali ya Amana ina mgonjwa 1, Hospitali ya mloganzira ni kubwa lakini tulitenga sehemu ndogo pembeni napo amebaki mgojwa mmoja, temeke hamna mgojwa na kwenye hospitali za binafsi ambazo zilituunga mkono nyingi hazina wagonjwa, wagonjwa wamebaki Aghakani na inawagonjwa 11 tu" amesema Mhe Majaliwa.

Amesema katika maeneo yote yaliyokuwa na wagojwa idadi imepungua kwa kasi na nyingine hazina wagonjwa kabisa, akitolea mfano kituo Cha afya Mkonze kilichokuwa na wagonjwa 12 na sasa Kuna wagonjwa 3 tu.

Amewapongeza viongozi wa dini zote kwa kuungana na wito wa Mheshimiwa Rais Dkt John Magufuli wa kuliombea taifa ili kuweza kuepukana na maambukizi ya ugonjwa wa Corona.

Amewataka watanzania kutobweteka na kupungua kwa maambukizi hayo bali waendelee kuchukua tahadhari zaidi ili ugonjwa huo uweze kutokomezwa kabisa hapa nchini, sambamba na kuendelea kuliombea taifa na kuchukua tahadhari zinazotolewa na wataalamu.

Pia amewahimiza wanafunzi wanaonza masomo juni mosi mwaka huu kuchukua tahadhari zote zinazotakiwa kwani wao ndio itakuwa mwanga kwaajili ya kuruhusu na wengine wa ngazi za chini kuendelea na masomo.

Pia amevipongoze vyombo vya habari kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuelimisha umma namna bora ya kujikinga na virusi vya Corona kwani Sasa mpaka vijijini elimu imewafikia na wanatambua athari za ugonjwa huu.

Kwa upande wake shekhe Mkuu wa Mkao wa Dodoma, Mustaafa Rajabu, amepongeza Rais Dkt John Magufuli kwa ujasili alionao pamoja na namna alivyolishugurikia gonjwa hilo hasa kwa kumtamguliza Mungu mbele katika mapambano hayo.

Pia amehimiza waislamu wote kwenda kuyaishi yake yote mazuri waliojifunza katika kipindi hiki Cha mfungo na kuacha mambo ya anasa ambayo yatakwenda kuharibu ibada zao.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.