• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

JUKJWAA la wanawake litakavyosaidia kukuza biashara za wajasiriamali

Imewekwa kuanzia tarehe: August 21st, 2023

AFISA Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya  Madaba Anitha Makota amezungumza na wanawake wa jasiriamali wadogo wadogo juu ya uundwaji wa jukwaa la wananwake.

Hayo amezungumza katika Kijiji cha Madaba Kata ya Mahanje amesema jukwaa la wanawake liliundwa kwa lengo la kuwawezesha wajasiriamali wadowadogo kwa  kuwapatia fursa ya kujipatia mitaji,masoko pamoja na ushirikiano na Wajasiriamali wengine kutoka sehemu mbalimbali.

“Jukwaa hilo lilianzishwa na Rais Samia akiwa Makamu wa Rais mwaka 20216 alizindua Mkoa wa Dar es Salam Mlimani city na kutoa maagizo ifikapo 2017 Mikoa,Halmashauri,Kata,Mitaa pamoja na vijiji Majukwaa yawe yameundwa”.

Afisa Maendeleo amesema jukwaa la wanawake ni chombo kikubwa kinachowapelekea  kukutana na wajasiriamali mbalimbali kutoka Mikoa mingine na Halmashauri tofauti kwa lengo la kujifunza kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine.

Hata hivyo amesema jukwaa hilo liliundwa kwa kuwasaidia wanawake kupaza sauti zao mwanzo hawakuwa na sauti ya kuzungumza .

“Nimesikia hapa kuna mama lishe ifike mahali mamalishe ajipatie  vyombo vya kisasa hata ikifika wakati wajisikie vizuri kupata huduma katika genge lako”.

Makota amesema lengo lingine lilikuwa maswala ya kujipatia masoko kupitia biashara  ndogondogo pamoja na kujipatia elimu ili kuwasaidia wajasirimali kuuza biashara zao ndani na nje.

“Lengo letu ni kuwakutanisha pamoja na wajasiriamali wengine kutoka Wilaya hadi Mikoa mingine kwa kujifunza jinsi gani wao wamefanikiwa”.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.