• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

KAMATI ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Ruvuma yakagua eneo la Chiwindi mpakani mwa Tanzania na Msumbiji

Imewekwa kuanzia tarehe: May 15th, 2020

MKUU  wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amefanya ziara ya kushitukiza  katika Kijiji cha Mtupale kilichopo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji iliyolenga mapambano dhidi ya corona.

Akizungumza jana na wananchi wa kijiji hicho,kilichopo katika Kata ya Chiwanda Halmashauri ya Nyasa, Mndeme awapongeza  wananchi hao namna wanavyopambana na Ugonjwa wa homa ya mapafu ya Corona  kwa kuzingatia taratibu zinazoendelea kutolewa na Serikali. 

Amewaagiza  wananchi  uvaaji wa barakoa kwamba wanaweza kujitengenezea kwa gharama nafuu na rahisi kwa kila mwananchi  kwa kujishonea  ili kupambana na homa ya covid 19.

Hata hivyo Mndeme amewataka Wananchi kuendelea  kufanya kazi za kiuchumi na kijamii ili kujipatia kipato  katika mahitaji ya kila siku kama alivyoagiza Rais kwamba kila mwananchi achape kazi.

“Sisi Rais wetu kwa mapenzi mema,ameruhusu watanzania tuendelee kufanya kazi ili kupata ridhiki za kila siku,chakula cha kila siku kwa hiyo tufanye kazi wakati huo tukiendelea kuchukua tahadhali.’’,alisema Mndeme.

Mkuu wa Mkoa pia amewaomba wananchi kutoa taarifa kwa wageni wanaoingia na kutoka katika nchi ya Tanzania ili wawekwe kalantini  kwa siku 14 na kwamba wasifikiri kalantini kama ni adhabu bali ni  tahadhari itakayosaidia   kupunguza  maambukizi ya virusi vya  Corona.

Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa nchini iliyothibitika na Wizara ya Afya kuwa na wagonjwa wa corona.

Imeandikwa na Aneth Ndonde

Ofisi ya Habari Mkoa wa Ruvuma

Mei 15,2020

  

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.