• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

KAMISHNA wa Ardhi Ruvuma aunga mkono zoezi la anwani za Makazi

Imewekwa kuanzia tarehe: February 17th, 2022

KAMISHNA wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Ruvuma Ildefonce Ndemela ameunga mkono katika kufanikisha utekelezeji wa Operesheni ya uwekaji wa anwani za makazi na postikodi.

Amesema katika kufanikisha mfumo huu sekta ya Ardhi itahakikisha kuwa inaandaa na kuziingiza kwenye mfumo taarifa zote za upangaji, upimaji na umilikishaji wa Ardhi.

Ndemela amesema kuwa sekta ya Ardhi ina majukumu mbalimbali katika kufanikisha zoezi hili ikiwemo kuboresha na kukamilisha taarifa za umiliki, kuandaa taarifa za michoro ya mipango miji na Ramani za upimaji pamoja na kuandaa Ramani za mipaka ya maeneo ya kiutawala.

Hata hivyo Ndemela ameongeza kuwa sekta ya Ardhi ina majukumu ya kubadilisha michoro ya Mipangomiji na Ramani za upimaji kutoka katika mfumo wa analojia kwenda katika mfumo wa kidigitali pamoja na kuandaa ramani na taarifa za vipande vya Ardhi kwenye maeneo yaliyoendelezwa kiholela.

‘’Ndugu zangu napenda kuwaambia kuwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika ngazi zote yaani Makao makuu, Ofisi za Ardhi Mkoa hadi Halmashauri tumejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa zoezi hili linakamilika ndani ya muda uliopangwa na kwa ubora uliokusudiwa’’ amesema

 Kamishna wa Ardhi Msaidizi ametoa maelekezo kuwa faida ya taarifa za Ardhi katika zoezi hili ni kurahisisha ukusanyaji wa maduhuli mbalimbali ya Serikali ikiwemo kodi ya pango la Ardhi na ada zingine za Ardhi.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni 

Kutoka Ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma.

Februari 16,2022

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.