• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAAFISA Ardhi msisubiri migogoro iwafuate ofisini-RAS Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: March 22nd, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Ndugu. Stephen Mashauri Ndaki amewataka wataalamu wa Ardhi mkoani humo kutatua migogoro ya Ardhi kwa kuwatembelea Wananchi katika maeneo yao badala ya migogoro hiyo kuwafuata ofisini

Maagizo hayo yametolewa na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Ndugu. Jeremiah Sendoro. kwenye kikao cha watumishi wa Sekta ya Ardhi Mkoa wa Ruvuma,kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea Machi 21,2023.   

Ndaki amesema Serikali kupitia Wizara ya Ardhi imewapa dhamana kuhusu rasilimalia Aridhi lengo likiwa Wananchi kuwa na uhakika na usalama wa miliki zao za Aridhi na ili kuboresha huduma hiyo lazima kuwe na mfumo rahisi pamoja na kusogeza huduma kwa Wananchi 

“Ndugu wa wataalamu kwa kuwa adhima kuu ya Serikali ya kusogeza ofisi karibu na Wananchi ni kupunguza au kuondoa adha kwa wananchi kufuata huduma hii mbali,” amesema Ndaki

Hata hivyo ametoa maelekezo kwa watalaamu ao amewataka kuhakikisha kila mtaalamu ya sekta ya Aridhi anatekeleza majikumu yake na pia kwa kuzingatia maadili  ya kazi na weledi pamoja na kutojiusisha kuomba na kupokea rushwa yoyote  na kuhakikisha wanatunza vyema nyaraka za Serikali

“Katika hili naelekeza kila Halmashauri iweke utaratibu wa kufanya mikutano ya hadhara katika mitaa ili kutoa elimu kwa Wananchi kuhusu sheria mbalimbali zinazotawala maswala ya Aridhi ili Wananchi waweze kutambua wajibu wao,” amesisitiza Ndaki

Naye Kamishna wa Aridhi Msaidizi Mkoa wa Ruvuma Ndugu Idefonce Ndemela amesema idara ya utawala ya Aridhi imeendelea kuhamasisha kushirikiana na Hamashauri hadi kufukia Machi 16,2023 Mkoa wa Ruvuma umekusanya kiasi cha shilingi bilioni 1.2 ambayo ni sawa na asilimia 42.3 lengo likiwa kukusanya bilioni 3 kwa mwaka

Ndemela amesema pamoja na jitihada za ofisi ya Aridhi ikiwa inafanya kwa ajili ya kutekeleza malengo ya Wizara ikiwemo kuongeza ukusanyaji wa kodi wa Ardhi kuna changamoto mbalimbali ambapo kutokuwa na usafiri kwa baadhi ya Halmashauri kwa ajili ya kufanya kazi zao za kila siku

“Lakini kiukweli taasisi za Serikali ndio zinaongoza kwa kulimbikiza madeni sisi kazi yetu ni kuwakumbusha kwa kuwapa taarifa ya kulipia ila jukumu la kulipa linabaki kwa taasisi husika tuanomba kupitia ofisi yako tusaidie katika hili,” amesema Ndemela.

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.