• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAANDALIZI ya zoezi la sensa mkoani Ruvuma yakamilika kwa asilimia 100

Imewekwa kuanzia tarehe: August 22nd, 2022


 MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amewaomba wananchi wa Mkoa huo kujitokeza kuhesabiwa katika zoezi la Sensa ya watu na makazi linalotarajia kufanyika nchini kote Agosti 23.

Akizungumza na vyombo vya habari ofisini kwake mjini Songea  kuhusu maandalizi ya sensa,Kanali Thomas  amewaomba wananchi wajitokeze na washiriki kikamilifu zoezi la sensa ya watu na makazi .

RC Thomas ameeleza kuwa mpaka sasa Mkoa wa Ruvuma unajumla ya makarani 5674, ambapo wasimamizi wa maudhuhi ni 571 na wasimamizi wa Tehama 173, ambao watafanya kazi ya kuhesabu watu katika maeneo ambayo wamepangiwa.

Amewataka makarani wa sensa kufanya kazi ya sensa kwa weledi wa hali ya juu, nidhamu kubwa na heshima katika maeneo yao waliyopangiwa

Mkuu wa Mkoa amewaomba wananchi kuandaa taarifa za kaya ili kazi ya kuhesabu watu iwe rahisi na ifanyike kwa muda mfupi,sanjari na kutoa taarifa zinazohusu hali ya ulemavu kwa kuwa wenye ulemavu pia wana haki ya kuhesabiwa.

“Serikali inawaomba wananchi wote kushiriki zoezi la Sensa ya watu na makazi kuanzia siku ya Jumanne  23 Agosti 23,2022 kwa kuhakikisha wanashiriki  kuhesabiwa na wanahesabiwa mara moja’’,alisisitiza RC Thomas.

Hata hivyo amewatahadhari  wananchi kutambua kuwa ni kosa la kisheria kukataa kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi.

Amewahimiza viongozi wa mitaa, Vijiji na Vitongoji kuhakikisha zoezi la sensa katika maeneo yao linafanyika kikamilifu  na watu wote wanahesabiwa.

Zoezi la kuhesabu watu linaanza tarehe 23 Agosti, 2022 na linatarajia kuendelea hadi  Agosti 28 mwaka huu.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.