• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MADIWANI Nyasa wapitisha bajeti ya bilioni 24.5

Imewekwa kuanzia tarehe: February 24th, 2020

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma limepitisha Mpango na Bajeti ya TSh.bilioni 24.5 kwa ajili kutekeleza shughuli mbalimbali za Halmashauri zilizopangwa kufanyika kwa mwaka wa fedha wa 2020/2021.

Mpango huo umewasilishwa na Kaimu Afisa mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Bw. Regius Sanane  katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Kepten John Komba , Mjini Mbamba-bay Wilayani hapa.

Bw. Sanane  alivitaja vyanzo vya mapato hayo kuwa ni makusanyo ya mapato ya ndani, Matumizi mengineyo, Mishahara(PE) na Miradi ya Maendeleo.

Aliongeza kuwa , bajeti hii inalenga ya kujenga msingi imara na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda, kuharakisha maendeleo endelevu,  kuboresha  hali ya maisha na ustawi wa jamii, na kuharakisha ustawi wa jamii utakaopunguza umaskini haraka.

Aidha,aliyataja malengo mengine  ni Kuinua ari ya utendaji kazi wenye tija na ufanisi,kuweka na kuimarisha ushiriki wa wadau wa ndani katika kupanga na kutekeleza mipango mbalimbali na kutmia uwepo wa mazingira mazuri ya nchi yetu kuimarisha shughuli za biashara kwa lengo la kuifanya Taifa letu kuwa Mhimili wa uzalishaji na kitovu cha biashara.

Maeneo mengine ambayo bajeti imezingatia ni ujenzi wa miundombinu ya Elimu ya Msingi na Sekondari, kuimarisha upatikanaji wa huduma za afya, pamoja na kuongeza uzalishaji mazao ya biashara likiwemo,zao la kahawa,korosho na kokoa.

Aidha Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Altho komba   ametoa wito kwa wataalam kuendelea na mchakato wa kuiwasilisha bajeti hii sehemu zinazohusika  kwa kuwa  Baraza la madiwani limeshapitisha ,na Bajeti hii inalenga  kutatua  Kero za Wananchi wa Wilaya ya Nyasa.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.