• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea ilivyodhamiria kupambana na utapiamlo

Imewekwa kuanzia tarehe: May 4th, 2021

Lishe bora ni kula chakula cha kutosha na chakula kinachofaa ili kiweze kusaidia mwili kukua vyema kwa afya njema na kuweza kupigana na magonjwa mwilini pia  Utapiamlo ni lishe mbaya na hutokea ikiwa unakula chakula kidogo sana au kingi sana au kula chakula kisichokuwa na lishe ya kutosha.

Miongoni mwa Mikoa inayoongoza kwa uzalishaji wa chakula Tanzania ni pamoja na Mkoa wa Ruvuma, licha ya ongezeko hilo la chakula bado kumekuwepo na tatizo la utapiamlo kwa watoto chini ya miaka mitano.

Tathimini ya utekelezaji wa kamati ya lishe Manispaa ya Songea kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2021 kiwango cha watoto wenye utapiamlo kimepanda kutoka asilimia 0.1% Oktoba hadi Disemba 2020 na kufikia asilimia 0.2% Januari hadi Machi 2021 ambapo jumla ya watoto 24 kati ya watoto 37,502 waligundulika kuwa na utapiamlo mkali ukilinganisha na kipindi cha Robo mwaka iliyopita Oktoba hadi Disemba 2020 ambapo watoto 21 kati ya watoto 36,748 wenye umri chini ya miaka mitano waliogundulika kuwa na utapiamlo.

Ongezeko hilo la watoto wenye utapiamlo kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2021, ni kutokana na baadhi ya wazazi kujishughulisha na shughuli za kilimo kwa kipindi cha masika ya mvua na kuacha watoto bila chakula cha kutosha kwenye  kaya zao.

Hayo yameelezwa na kamati ya lishe Manispaa ya Songea kwa lengo la kufanya tathimini ya utekelezaji wa zoezi la lishe katika kipindi cha Robo mwaka Januari hadi Machi 2021 iliyofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya leo tarehe 3 Mei 2021.

Wakibainisha baadhi ya changamoto zinazopelekea ongezeko la watoto wenye utapiamlo wenye umri chini ya miaka mitano ni pamoja na uhaba wa chakula dawa (RUTF) katika vituo vya Afya na baadhi ya watoa huduma katika vituo vya Afya kutokuwa na uelewa juu ya elimu ya lishe.

Ili kukabiliana na changamoto hizo Manispaa ya Songea imejipanga kutoa elimu kupitia vyombo vya habari, mikutano ya hadhara, kuundwa kwa kamati za lishe mashuleni, Wataalamu wa Afya kuelimisha namna ya uandaaji wa lishe bora kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, kuhakikisha akina mama wajawazito wanahudhuria kliniki mara anapohisi ana ujauzito,  Kutumia sheria ndogo za lishe, watendaji wa kata/ mtaa kufuatilia kaya zenye watoto wenye utapiamlo, kuhakikisha kila shule inatengeneza bustani za mboga mboga na kupanda miti ya matunda, pamoja na kutolewa kwa mafunzo maalumu ya uandaaji wa chakula cha lishe kwa wanafunzi mashuleni.

IMEANDALIWA NA,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA,

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.