• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea yafanya tathimini ya utekelezaji mkataba lishe

Imewekwa kuanzia tarehe: July 5th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema ameongoza kikao kazi cha tathimini ya utekelezaji wa mkataba wa lishe ngazi ya kata kwa kipindi cha Aprili – Juni 2021, kilichofanyika leo tarehe 02 Julai 2021 katika ukumbi wa Manispaa Songea.

Pololet amesema tathimini hiyo imefanyika kwa lengo la kuhakiki utekelezaji wa mkataba wa lishe kutoka kata 21 ndani ya Manispaa ya Songea, ambazo zinaonesha  idadi halisi ya watoto wenye utapiamlo ambapo kwa sasa utapiamlo umepungua kwa kiwango  cha asilimia 100%  ukilinganisha na kipindi cha robo mwaka Januari- Machi 2021 ambapo takwimu zinaonesha idadi ya watoto wenye utapiamlo ilikuwa ni asilimia 0.6%.

Amewataka maafisa watendaji wa kata, maafisa watendaji wa mitaa na wahudumu wa afya kuendelea kutembelea kwenye kaya za wa mama wajawazito na watoto wenye umri chini ya miaka mitano ili kuwapatia elimu ikiwemo na kuhakikisha wanahudhuria kliniki mara kwa mara.

Naye Afisa lishe Manispaa ya Songea Frolentine Kissaka amesema miongoni mwa changamoto zinazokwamisha utekelezaji wa lishe kwa jamii ni pamoja na  kuwepo kwa kiwango kidogo cha utambuzi wa watoto wenye utapiamlo hususani ( utapiamlo mkali  katika jamii),  na baadhi ya kata kuchelewa kuleta taarifa zinazohusiana na tekelezaji wa mkataba wa lishe katika mitaa yao kwa wakati.

 Pamoja na changamoto hizo  Halmashauri Manispaa ya Songea imefanikiwa katika utekelezaji wa lishe ya jamii katika kipindi cha aprili hadi juni 2021 kwa kupungua  utapiamlo   kwa  asilimia 100% , hii ni kutokana ushirikiano na ukaribu wa  jamii pamoja na mwitiko mkubwa wa viongozi ngazi ya Wilaya, Halmashauri, kata na Mitaa.

Alisema Mikakati ya  Halmashauri ya Manispaa ya Songea katika kutekeleza Mkataba wa Lishe kwa jamii ni  pamoja na  kuwawezesha  wahudumu wa afya ngazi ya jamii ili  kuimarisha usimamizi kwenye  mitaa/ kata ambako ni sehemu kubwa ya  kiini cha kuleta mabadiliko katika jamii ili kuongeza wigo wa kufanya  kazi za uchunguzi wa hali ya lishe na  kuweza kuibua watoto wengi  wenye tatizo la utapiamlo ngazi ya  mitaa. ‘Kissaka alieleza’.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

AFISA HABARI  MANISPAA YA SONGEA.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.