• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MBINGA waanza kampeni ya kukabiliana na usubi

Imewekwa kuanzia tarehe: August 20th, 2023

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga wahimizwa kumeza Kinga Tiba  za Usubi ili kutomeza magonjwa yasiyopewa kipaumbele  ya  kichocho, matende na mabusha, minyoo  pamoja na  usubi.

Rai hiyo imetolewa na Mratibu wa  magonjwa  yasiopewa kipaumbele  kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga  Joseph Washa Washa  wakati wa ufunguzi wa zoezi la umezaji  Kinga Tiba  za Usubi tarehe 17 Agosti 2023 uliofanyika katika Kijiji cha Burma.

Amesema kuwa  kila mwananchi mwenye umri kuanzia miaka 5 na kuendelea  isipokuwa mjamzito pamoja na mgonjwa mahututi  anatakiwa kumeze dawa hizo ili kuwa salama.

 Amebainisha kuwa bado jamii haina elimu ya kutosha juu ya faida za Kinga Tiba hizo na  baadhi ya wanafamilia wamekuwa wakiwafukuza  watoa huduma  wanaopita  katika Kaya zao  kwa lengo la kuwapatia  dawa hizo muhimu kwa afya zao.

" Tukiongelea ugonjwa wa Usubi  tuna watu wetu ambao wanao lakini bado hatuna elimu  ya kutosha, mfano dalili za usubi ni pamoja na kuwasha mwili, kua na uoni hafifu na kuwa na mabaka mabaka kwenye ngozi zetu" Amebainisha Washa Washa

Amebainisha kuwa  kwa mwaka  2022/2023 Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga  imeweza kuwafikia  wanajamii na kuwapatia kinga tiba ya usubi  kwa asilimia 84%  ikiwa  walengwa  walikuwa 283,531 na walifikiwa ni 237,249.

Washa Washa amebainisha madhara yatokanayo na ugonjwa wa usubi ni  kusababisha upofu pamoja na kupunguza nguvu kazi katika  utekelezaji wa shughuli za kiuchumi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.