• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MBUNGE Ruvuma atoa pikipiki kwa mama mwenye mapacha watatu

Imewekwa kuanzia tarehe: July 15th, 2023

MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma Mheshimiwa  Mariam Nyoka,ametoa msaada wa pikipiki yenye thamani ya Sh.milioni 2.5 kwa familia yenye mapacha watatu inayoishi kijiji cha Mkapunda wilayani Tunduru ili iwaingizie kipato kitakachosaidia kwenye malezi ya watoto wao.

Baba wa watoto hao Hamis Shaibu alisema,baada ya kujaliwa kupata watoto mapacha wanne alilazimika kumuomba Mbunge pikipiki ili iwasaidie kulea watoto kwa kubeba abiria kutokana na changamoto ya maisha waliyonayo.

Alisema  hana kazi wala shughuli yoyote ya kumuingizia kipato,jambo ambalo lingeweza kumsumbua katika malezi ya watoto wake hasa ikizingatiwa kwamba yeye ndiyo kichwa cha familia licha ya mama wa watoto hao Judith Sichawe ni Mwalimu wa shule ya msingi.

Amemshukuru Mbunge kutokana na msaada huo,na kuhaidi kutumia pikipiki hiyo kufanyia biashara itakayowaingizia kipato ambacho kitakwenda kupunguza ukali na ugumu wa maisha kwenye safari ya malezi kwa watoto wao.

Aidha,amewaomba wasamaria wengine kuendelea kuwasaidia katika malezi na matunzo ya vijana wao kwa kutoa walichanacho kwa sababu watoto hao bado wana uhitaji wa vitu vingi.

Naye mama wa watoto Judith Sichawe alisema,alifanikiwa kujifungua mapacha wanne hata hivyo kwa bahati mbaya mtoto mmoja amefariki Dunia tangu mwezi Septemba mwaka jana na sasa wamebaki watatu wenye umri wa mwaka mmoja na miezi miwili 

Mbunge wa viti maalum Mariam Nyoka alisema,amelazimika kutoa msaada huo  kwa kuwa anatambua ugumu wa kulea na kutunza watoto mapacha kwa wakati mmoja na changamoto ya kimaisha inayoikabili familia hiyo.

Alisema,hiyo ni mara ya pili  kuitembelea na kutoa msaada kwa familia hiyo yenye jukumu kubwa la kulea watoto wao  hadi pale watakapokuwa watu wazima na kuanza kujitegemea.

Kwa mujibu wa Nyoka,kulea watoto mapacha watatu  ni kazi ngumu inayohitaji kipato kikubwa,na yeye kama sehemu ya jamii ameona ni vyema kuisaidia familia hiyo pikipiki ambayo itakuwa  chanzo kikubwa cha kuwaingizia kipato.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.