• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MELI mpya ya abiria ziwa Nyasa itakavyowanufaisha wananchi wa Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: May 1st, 2020

Muonekano  wa Meli ya MV Mbeya II katika ziwa Nyasa, yenye  uwezo wa kubeba abiria 200 na tani 200 za mizigo .Mbunge wa Jimbo la Nyasa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhandisi Stella Manyanya anasema meli hiyo ndiyo ukombozi wa wakazi wa Mwambao mwa ziwa Nyasa kwa sababu italeta mapinduzi makubwa katika sekta ya usafiri na usafirishaji kwa wananchi wake wa Jimbo la Nyasa na Mkoa mzima wa Ruvuma.

Amesema meli hiyo ya abiria itaondoa kabisa adha ya abiria ambao wamekuwa wakipata tabu sana kusafiri tangu meli ndogo ya MV Songea iliposimama kutoa huduma katika ziwa Nyasa kutokana na kutokuwa katika hali nzuri.

Kwa mujibu wa Shirika la Bandari Tanzania,MV. Mbeya II itatoa huduma katika bandari zote za mwambao wa ziwa Nyasa ikiwa ni pamoja na nchi jirani za Malawi na Msumbiji, hivyo kurahisisha shughuli za wafanyabiashara mbalimbali wanaosafiri na kusafirisha mizigo yao kwenda na kutoka maeneo mbalimbali ya mwambao wa ziwa Nyasa.

Meli ya MV Mbeya II inaudwa baada ya meli ya mwanzo ya MV Mbeya I kuzama mwaka 1975 eneo la Makonde wakati ilipokuwa ikifanya safari zake za kawaida katika ziwa hilo.

Ujenzi wa meli hii ni muendelezo wa serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutatua changamoto ya vyombo vya usafiri wa majini, baada kukamilisha ujenzi wa meli mbili za awali MV Ruvuma na MV Njombe kwa ajili ya kusafirisha shehena ambapo tayari zimeanza kutoa ajira za moja kwa moja kwa wakazi wanaozungukwa na bandari hizo hususani mikoa ya Ruvuma,Njombe na Mbeya.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.