• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MFUMO mpya wa NeST kuleta mapinduzi makubwa kwenye mfumo wa ununuzi wa umma

Imewekwa kuanzia tarehe: August 31st, 2023

Wataalam 48 wa Halmashauri nane za Mkoa wa Ruvuma wameanza mafunzo ya siku tano ya mfumo mpya wa ununuzi wa umma (NeST)  yanayofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga.

Wakufunzi wa mafunzo hayo wanatoka Sekretarieti ya  MKoa wa Ruvuma ambao siku chache zilizopita walipata mafunzo ya mfumo mpya wa ununuzi wa umma kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzo wa Umma (PPRA) yaliyofanyika mjini Dodoma,ambayo yalishirikisha wataalam 180 kutoka Sekretarieti za mikoa yote 26 ya Tanzania Bara.

Akizungumza wakati anafungua mafunzo hayo Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Ndugu Jumanne Mwankhoo amesma PPRA imeunda mfumo mpya wa ununuzi wa umma unaoitwa National eprocurement Sytem of Tanzania (NeST) ambao umeanza kutumika Julai Mosi mwaka huu ambapo serikali imeridhia kuanza kutumika mfumo mpya wa ununuzi kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.

Amesema serikali imepitisha sheria ya kuanza kutumika mfumo mpya wa ununuzi wa umma NeST baada ya kubaini changamoto za kiufundi zilizojitokeza kwenye mfumo wa ununuzi wa awali (TANePS) na lengo la serikali ni  kuhakikisha,Halmashauri,Mikoa na Taasisi zote zinaanza kutumia mfumo wa NeST.

“Ninyi wataalam sita  kutoka kila Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma mtakwenda kuwa  walimu wa mfumo mpya wa ununuzi NeST wa wataalam wengine waliopo kwenye Halmashauri zenu ili kila mtaalam aweze kuufahamu vizuri na kuanza kuutumia mfumo huu’’,alisistiza.

Kwa upande wake Msimamizi wa mafunzo hayo Piniel Mbura akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo hayo amesema,utafiti umebaini kuwa  mfumo mpya wa ununuzi wa umma NeST una faida nyingi zikiwemo kuongeza wigo wa ushiriki kwenye ununuzi, uwajibikaji,kupunguza muda wa mchakato,upatikanaji wa taarifa na  kupunguza mianya ya rushwa.

Faida nyingine amezitaja kuwa ni uandaaji wa zabuni zote na uombaji wa zabuni utafanyika ndani ya mfumo,wazabuni ndani ya mfumo watajisajiri na kupandisha nyaraka zao zote kwa mara moja na nyaraka zote zitasainiwa ndani ya mfumo.

Sekta ya ununuzi wa umma inachukua takriban asilimia 70 ya Bajeti ya Serikali hivyo ununuzi wa umma ni eneo nyeti kwa sababu serikali inatenga fedha nyingi ili kufanikisha malengo na matarajia ya nchi kwenye ununuzi.]

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.